#COVID19 WHO yasema inaweza kuwa nafasi ya mwisho kubaini asili ya Virusi vya Corona

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Timu yake mpya iliyoundwa kubaini asili ya Virusi vya Corona linaweza kuwa fursa ya mwisho kupata majibu hayo, huku ikisisitiza China kutoa Data za Visa vya mwanzo

Mapema mwaka huu timu iliyoongozwa na WHO kwa kushirikiana na Wanasayansi wa China ilisema kuna uwezekano Virusi vilisambazwa kwa binadamu kutoka kwa Popo lakini Tafiti zaidi zinahitajika

Visa vya kwanza vya COVID-19 viliripotiwa katika Mji wa Wuhan Desemba 2019


=======

The World Health Organization said on Wednesday its newly formed advisory group on dangerous pathogens may be "our last chance" to determine the origins of the SARS-CoV-2 virus and urged China to provide data from early cases.

The first human cases of COVID-19 were reported in the central Chinese city of Wuhan in December 2019. China has repeatedly dismissed theories that the virus leaked from one of its laboratories and has said no more visits are needed.

A WHO-led team spent four weeks in and around Wuhan earlier this year with Chinese scientists, and said in a joint report in March that the virus had probably been transmitted from bats to humans through another animal but further research was needed.

WHO director-general Tedros Adhanom Ghebreyesus has said the investigation was hampered by a dearth of raw data pertaining to the first days of the outbreak and has called for lab audits.

The WHO on Wednesday named the 26 proposed members of its Scientific Advisory Group on the Origins of Novel Pathogens (SAGO). They include Marion Koopmans, Thea Fischer, Hung Nguyen and Chinese animal health expert Yang Yungui, who took part in the joint investigation in Wuhan. L1N2R91AM

Source: Reuters
 
Back
Top Bottom