comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,939
Sisi Tanzania ndio wamiliki halali wa East Afrika mbona tangu long tu, we ulishaona kuna nchi yoyote ya Afrika Mashiriki iliwahi kuungana? kama sio sisi Tanzania ndio maana wenzetu wanatuangalia sana kwa wivu wao kila wakizama wanaibuliwa