WHO nayo yataka watu wajitengenezee Barakoa

WHO nayo yataka watu wajitengenezee Barakoa

Barakoa au yale mnayovaaga usoni sijui yanaitwaje sijui mabarakola [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Corona ipo makini sana... baada ya kuona hali imekuwa tete imeamua kukaa pepembeni kwanza timbwili liishe. (Jokes)
===
Kuna ushahidi wa wazi kuwa uonga unachangia kushusha nguvu ya mwili kukabiliana na Corona. Waandamanaji wengi kama tunavyoona kwenye luninga hawana uongo na ndiyo maana kiwango cha maambukizi kimepungua huko hasa kwa hao wanaoandamana (serous)
Maandamano yatafukuzia mbali corona. Corona inavizia waoga na wanaopenda kimbilia hospital. Hii imeharibu sana ratiba ya akina Gate, dah sijui wanakuja na plan gani...
 
Mh. Rais wetu, Dr JPM yuko ahead of the game, kitambo sana, WHO is following Dr Magufuli's measures & directives in silence..!! 😂
 
Back
Top Bottom