Umeniwahi maana kila meza hapo ina kisu lakini namba nne hakipo hivyo itakuwa amekiacha huko kwenye tukio4 ndiye kaacha kisu ndani huko.
Hii mada ipo mbona humu ndani![]()
Mi nahisi Namba 3 au Namba 4 kwa sababu
Namba 3 mwanamke pekee anaeweza ingia kwenye bafu za kike!
Namba 4 kwa kua hana kisu mezani kwake!