James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 9,530
- 16,259
Wakati anatoa mhadhara wa uprofesa mwaka 1990 Nkrumah hall sijui ulikuwa ndani ya kaptura ipi?Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.
Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.
Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
Wewe ndo mzazi wake au muajiri wake?Shivji hajawahi kupata div 4, wala 3 wala 2.
Lipumba atakupa taabu ktk uchumi lakini siyo siasa.Maprofessa wa Bongo Lipumba,Kabudi,Shivji ni Maprofessa "Bahasha" wasikupe tabu.
Wakati Shivji anasoma hajawahi kusoma kwa divishen. So tumia akiliWewe ndo mzazi wake au muajiri wake?
One thing in common wote ni wapenzi wa "Bahasha".Lipumba atakupa taabu ktk uchumi lakini siyo siasa.
Kabuni atakupa taabu ktk sheria lakini siyo siasa.
Shivji atakupa taabu ktk sheria za ukomo wa DPW lakini siyo siasa. Umesema vyema.
Na hata ktk hilo bunge la katiba ni kipengele kimoja tu cha muundo wa serikali tatu muungano ambacho Shivji kwa maoni yake alipinga na akatoa hoja zake kuwa bora ziendelee kubaki mbili ingawa sisiem walimpenda hapo hapo ktk hoja hiyo hiyo kw sababu sisiemu ina advantage ktk kumpata rais wa JMT kwa kupitia kura za Znz kuliko CDMM and et al.Unalinganisha ufaulu wa enzi ya kina Shivji na sasa? Mitihani enzi hizo A inaanzia 100%-81% miaka yenu sasa A inaanzia 100%-75%. Na unaruhusiwa kutumia calculator.
Ukikosa cha kusema kwa heshima kubwa, nyamaza.
Huyu Prof. Shivji alipoingia bungeni kuikosoa katiba ya Warioba, ccm mlishangilia sana na alitukanwa sana na hakuwahi kumjibu yeyote. Na hii ndio sifa ya mwanazuoni. Mtasema sana na mtatukana sana yeye keshasema.
Ajabu wanaokosoa huo mkataba ni wengi sana, wanasheria, tena wengine wamewahi kuwa mawaziri wakubwa waandamizi,mfano Mzee Warioba na Tibaijuka, lakini Prof. Shivji ndo unamwandama. Mbona mlimsikiliza kwenye bunge la katiba!!
Hapo umedhibitisha nini? Acha hemko mkuuWakati Shivji anasoma hajawahi kusoma kwa divishen. So tumia akili
Kama kuna mtu kampa Shivji bahasha atetee mali za Tanganyika huyo mtu ni muhimu sana kwa Tanganyika. Hata Mimi nikiweza nampa Shivji bahasha ili wapinge waarab na washenzi wote wasioitakia mema Tanganyika.One thing in common wote ni wapenzi wa "Bahasha".
Kwa Nini unawaogopa waarabu! Toa sababu ili tuweze kumpa mzungu unayemtakaKama kuna mtu kampa Shivji bahasha atetee mali za Tanganyika huyo mtu ni muhimu sana kwa Tanganyika. Hata Mimi nikiweza nampa Shivji bahasha ili wapinge waarab na washenzi wote wasioitakia mema Tanganyika.
Na anayo pia Bachelor of Science Kaichukulia UKShivji hajawahi kupata div 4, wala 3 wala 2.
Shivji wa kesho utamshangaa kwa U turn utasema sio huyu.Kama kuna mtu kampa Shivji bahasha atetee mali za Tanganyika huyo mtu ni muhimu sana kwa Tanganyika. Hata Mimi nikiweza nampa Shivji bahasha ili wapinge waarab na washenzi wote wasioitakia mema Tanganyika.
Achaneni na mavyeti yanawaletea ujinga tu na kunidharau kwamba hamuwezi mpaka professor. Wakati wote vilaza tuNa anayo pia Bachelor of Science Kaichukulia UK
mseng.e mseng.e kama wewe unamkosoa nguli wa sheria wa nchi hii?Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.
Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.
Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
Hakuna unguli hapa ni mjinga tu yulemseng.e mseng.e kama wewe unamkosoa nguli wa sheria wa nchi hii?
Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.
Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.
Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
Na kwakuongezea tu Wahindi wamekuja hapa kutengeneza reli imekamilika mpaka imezeka, mpaka tunajenga SGR bado anataka kujiona anaweza kutusemeaMi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.
Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.
Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
Hoja hujibiwa kwa hoja.Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.
Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.
Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
Tujadiliane kwa staha.mseng.e mseng.e kama wewe
Uwekezaji ni muhimu sana regardless how umefanyika. Tumechoka na huu umaskini wa kujitakia. Mbaya zaidi wachache wezi wa bandari ndo wanaonufaika at the expense of the majority. Ilikuwa kwamba ukiajiriwa bandarini basi umeula. Sasa basi
Ni bora shule zifunguliwe Jumatatu mrudi masomoni. Shivji ashindanishwe na Kabudi kunywa dawa ambayo haijajaribiwa Kimaabara au ashindanishwe kwenye nini?Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.
Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.
Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.