Naskia Mpare wa Gonja huyu Babu.VOTING RESULTS:
1. 🇹🇿 Prof Yakub Janabi: 32
2. 🇨🇮 Dr N’da Konan Yao: 5
3. 🇬🇳 Mohamed Drame: 4
4. 🇹🇬 Prof Moustafa Mijiyawa: 4
Mmmmm mbona alisema yeye ni wa Namtumbo huko ??Naskia Mpare wa Gonja huyu Babu.
Dah nyumbani kabisa 😂Naskia Mpare wa Gonja huyu Babu.
Andika Jumbe nyingi za Kipare mwanagu soon unakula mwewe Hadi Usweez.Dah nyumbani kabisa 😂
Wanaweza kumuita Prof au ajaiywa Doctor.kwa wanaofwatilia mgombea wa tanzagiza huko geneva, ningependa kujua huko who officialy wanamtambulishaje? je, wanamuita profesa Janabi pia kama sisi tanzagiza au wanamtambulishaje?
Uswisi hakuna tume huru ya uchaguzi, c unaona Janabi ameshinda, itabidi chadema wakaandamane na huko ili kuleta slogan ya NRNE 😂Andika Jumbe nyingi za Kipare mwanagu soon unakula mwewe Hadi Usweez.
Kwa Nyerere kuitwa "Mwalimu" hata wakati ilikuwa sawa, ila kwa Janabi kuitwa "Prof." hata kama hafundishi sio sawa eti?Wanaweza kumuita Prof au ajaiywa Doctor.
Kwasababu maan ya Profesa ni Mwalimu.
Mara nyingi kama.mtu hafundishi, hakuna sababu ya kumuita Profesa...
Ndio maana Nyerere alikomaa na ID yake Mwalimu.
Ni interest za mtu.Kwa Nyerere kuitwa "Mwalimu" hata wakati ilikuwa sawa, ila kwa Janabi kuitwa "Prof." hata kama hafundishi sio sawa eti?
Dah!Ni interest za mtu.
Ila Nyerere alikuwa hafundishi darasani. Ila amefundisha kila kitu nchi hii wakati anajenga msingi.
Hakuna kitu ambacho Nyerere hakufundisha, kwa hotuba, vitabu na maamuzi (ukabila, uchaguzi, vyama vingi, muungano, uchumi, mahusomiano ya kimataifa).
Janabi anafundisha kitu gani, maana anaenda kusimamia sera za WHO World kwa upande wa Afrika.