Mkuu mada nzur ila nahc umekosea jukwaa ilibid iwe kwenye jamvi la jamii intelligenceKuna source nimeisoma inasema watu wanaotambulika kama wayahudi leo sio Wayahudi na genetics zao zinaendana na za wazungu wa ulaya, hamna tofauti.
Sasa je watu gani ni wayahudi halisi
Wacha kujidanganya mkuu.Ulichokiandika ni kweli. Mungu kafanya hivyo maksudi ili the real jews wawe ulimwenguni kote pasipo ubaguzi wa rangi.
Ni sawa na Sanduku la Agano.
I am the Jew , You can be too!
Wajinga ndio waliwao!Wacha kujidanganya mkuu.
Real Jews waliobaki Dunian ni chini ya nusu milion tu.
Waliobaki wote Vibaka tu wachanganya Damu.