Wivu wa kijinga...
Wakati TAZARA inajengwa miaka ya sabini (70) kwa gharama ya dola 500 milioni. jamaa wa west walizua maneno yao ya Ki-kameruni kameruni kama haya, wengine walisema eti wachina watatujengea reli ya mabua na haitatudumu zaidi ya miaka 5, leo hii ni miaka karibia 40 bado inachapa kazi....:A S-coffee:
Tukiwauliza hao wazungu (western countries) katika miaka yote kuanzia ukoloni hadi sasa wamefanya kitu gani cha maana kwa bara la Africa zaidi ya kutuibia rasilimali zetu, kutuuzia silaha pamoja na kutuletea vita na migogoro ya wenyewe ya wenyewe?:lol: