s5 ni nzuri zaidi, ila ni simu mbili tofauti sababu one max ni phablet ni kubwa sana almost kama tablet wakati s5 ina kioo cha kawaida so inategemea mwenyewe unataka simuy ya aina gani
s5 ni nzuri zaidi, ila ni simu mbili tofauti sababu one max ni phablet ni kubwa sana almost kama tablet wakati s5 ina kioo cha kawaida so inategemea mwenyewe unataka simuy ya aina gani
Asante kwa darasa murua,nilikua nataka tu kujua performance ya cm zote mbili but umeshasema s5 ni bora kuliko one max,ntaachana na wazo lakununua one max kwa sasa.
Asante kwa darasa murua,nilikua nataka tu kujua performance ya cm zote mbili but umeshasema s5 ni bora kuliko one max,ntaachana na wazo lakununua one max kwa sasa.