Afadhari PPS isingekuwa hawa SSRA kuchanganya siasa uchwara nadahani PPF wapo poa kuliko NSSF maana ilikua kwa PPF unakaa mwezi tu mmoja baada ya kuacha kazi unalamba pension yako.Vingine kama ajali kazini, sijui kufiwa, sijui kusomesha na matibabu ni mbwembwe tu maana ni terms na conditions kuzingatiwa.So uzuri wa mfuko kwangu mimi ni ule uepesi wa kuchukua ela yako pindi tu unapoacha kazi au kuachishwa kazi period