X wangu alisema tusitafutane tukaushiane ili tusahauliane, mimi nikaamua kumute nikaona anaanza kunitumia text kwenye no ambayo siijui. Akatuma text nikamwuliza nani hakujibu na mimi sikumtafuta nikakausha jana katuma tena text hellow nikamwuliza nani akajitambulisha.
Nimemmutia hadi saizi na sina mpango wa kumtafuta ungekuwa wewe ungefanyaje mtu alikuambia msitafutane wala nisitume text ataziona babie wake wa saizi.
Nimemmutia hadi saizi na sina mpango wa kumtafuta ungekuwa wewe ungefanyaje mtu alikuambia msitafutane wala nisitume text ataziona babie wake wa saizi.