Flagship Used ni changamoto sana. Ni simu zinazosumbua sana. yani haiwezekani ununue S8 au s9 hata S10 usikute ina changamoto.
Wewe kama mimi tuFlagship ya mwaka juzi ni bora zaidi kuliko toleo jipya la midrange, hata bei inaweza bado kuwa juu kuliko midrange currently. Na sio lazima ununue used au refurbished, unaweza kununua mpyaa kwa bei nafuu kidogo...
Hizo s9+ Og ni bei gani?Wewe kama mimi tu
sema mm nipo na SAMSUMG S SERIEZ
sinaga mbwembe sana nina
S7edge+ 128gb duos KOREAN VERSION
Mwaka wa pili huu
mwaka huu mwishoni nategea s9+ au s10+ hasa S9+ kulingana na kipato ila nikipata s10+ kam bei kitonga nitabeba uzuri mm hata sijari kama GORILLA ina mpasuko muhinu kwangu iwe haijaguswa chochote yaan iwe PURE
huwa sinaga mbwembwe za kukiimbizana na hayo matoleo mapya 7bu mm siwezi tumia samsung kama sio FLAGSHIP
sasa hiyo hiyo ela ya kununua S20 S21 niitoe wapi tunategea tu yakishapita matoleo mawili matatu tunakaa humo maisha yanaenda
Kama Budget yako inafika laki 6+ hakuna haja ya kununua used flagship kwa sasa, kuna midrange processor zenye nguvu kama hizo flagship mfano snapdragon 778 ipo kati ya snapdragon 855 na 865 (ina nguvu kidogo kuliko s10 na ipo nyuma ya s20)Kumekuwa na katabia fulani ka kusubiri flagship zilizotolewa miaka 2 au 3 nyuma zishuke bei zifikie bei ambayo ni affordable ndipo mtu anunue.
Hili linakuja na changomoto kadhaa.
Kwa mfano flagships za miaka 2/3 nyuma kwa asilimia kubwa zinakuwa used mfano samsung s10 au note 10, note 9 na kwa maana hiyo unakuta zina defect fulani fulani mfano battery kuwa na uwezo kidogo, simu kuwa refurblished n.k jambo ambalo linafanya baadhi ya watu waone kwamba midrange za sasa kama hizi samsung A32, A52, au redmi serries ni bora zaidi kuliko flagship za miaka ya nyuma.
Kwa upande mwingine flagship hizi za miaka ya nyuma zina mwonekano mzuri na features zake nyingi ni premium.
Sasa naomba tujadiliane na kushauriana kuhusu maduka yanayouza used phones genuine lakini pia kuhusu ukweli wa jambo lenyewe.
Tatizo linakuja kuwa price tag inayowekwa kwenye hizi midrange. Mfano Samsung A32 ambayo ina Helio G80 chip price yake ni 700 - 750k kwa hapa Dar. Mpaka uje kuipata A52 yenye processor nzuri SD 720G, unahitaji around 880 - 920k. Kitu ambacho ni cha ajabu sana.Kama Budget yako inafika laki 6+ hakuna haja ya kununua used flagship kwa sasa, kuna midrange processor zenye nguvu kama hizo flagship mfano snapdragon 778 ipo kati ya snapdragon 855 na 865 (ina nguvu kidogo kuliko s10 na ipo nyuma ya s20)
Angalia simu kama Samsung Galaxy A52s, M52, realme gt master, realme 9 se, xiaomi 11 lite 5G ne, etc.
Zote zina vioo vya 90 ama 120hz, Amoled, ram 6 ama 8gb, storage kuanzia 128, camera kali, perfomance kubwa etc.
Na pia midrange zina sd card, earphone jack, fm radio na mambo mengine ambayo si rahisi kupata kwenye flagship.
Issue kubwa ambayo kwenye flagship ipo na midrange hawana ni usb 3.1 kama unataka wired video out kuconnect na tv.
Kama budget ni ndogo lets say laki 3 ama 4 huna ujanja used flagship make sense hasa kama perfomance ndio unataka.
Og kivipi l uzungumzie version ya GROBAL au unazunguzia kutofanyiwa REFURBISHED
Sababu A32 ina bei doesnt mean midrange zote hazina value. Na A52 inapatikana Chini ya laki 8.Tatizo linakuja kuwa price tag inayowekwa kwenye hizi midrange. Mfano Samsung A32 ambayo ina Helio G80 chip price yake ni 700 - 750k kwa hapa Dar. Mpaka uje kuipata A52 yenye processor nzuri SD 720G, unahitaji around 880 - 920k. Kitu ambacho ni cha ajabu sana.
Wazee wa battery healthFlagship ya mwaka juzi ni bora zaidi kuliko toleo jipya la midrange, hata bei inaweza bado kuwa juu kuliko midrange currently
Na sio lazima ununue used au refurbished, unaweza kununua mpyaa kwa bei nafuu kidogo
Binafsi huu ndio mtindo wangu
Mwaka huu naanza kuiwinda iphone 11 pro max, sitaki makuu kufukuzana na new release
Nina bahati sana sijawahi kununua Refurbished au used ikaja kunisumbua, kitu kikubwa nazingatia ni battery health
Nina iphone 8 mini toka mwaka juzi na ipo makini battery health 79%
Jitahidi kuepuka simu za makumbusho na kariakoo
Kinacho nikwaza sana kwenye hizi midrange mpya ni bei zao haswa bongo, na hata ukiagiza bei zao zipo fixed ukijumlisha na usafiriKama Budget yako inafika laki 6+ hakuna haja ya kununua used flagship kwa sasa, kuna midrange processor zenye nguvu kama hizo flagship mfano snapdragon 778 ipo kati ya snapdragon 855 na 865 (ina nguvu kidogo kuliko s10 na ipo nyuma ya s20)
Angalia simu kama Samsung Galaxy A52s, M52, realme gt master, realme 9 se, xiaomi 11 lite 5G ne, etc.
Zote zina vioo vya 90 ama 120hz, Amoled, ram 6 ama 8gb, storage kuanzia 128, camera kali, perfomance kubwa etc.
Na pia midrange zina sd card, earphone jack, fm radio na mambo mengine ambayo si rahisi kupata kwenye flagship.
Issue kubwa ambayo kwenye flagship ipo na midrange hawana ni usb 3.1 kama unataka wired video out kuconnect na tv.
Kama budget ni ndogo lets say laki 3 ama 4 huna ujanja used flagship make sense hasa kama perfomance ndio unataka.
Si unajua tena Apple wanatafutaga vitu vya kiaina kujipambanua ili watuibie vizuri ππWazee wa battery health
11 pro max ina deserve hio status maana all around ilikuwa simu nzuri na ukaaji chaji inaweza compete na midrange angalau uta enjoy simu yako.Kinacho nikwaza sana kwenye hizi midrange mpya ni bei zao haswa bongo, na hata ukiagiza bei zao zipo fixed ukijumlisha na usafiri
Kufika mwishoni mwa mwaka huu iPhone 11 Pro max unaweza kuibabatiza kwa 1m na vi point wakati huo iphone SE toleo jipya itakua inacheza hapo hapo
Halafu ni ile tu mentality tuliokua nayo kwamba FLAGSHIP inakaheshima kake πππ
Mimi kadiri umri unavyo yoyoma ndivyo matumizi yangu ya simu yanapungua sana
Vitu kama jack pot, sd card nk havina tena nafasi kwenye matumizi yangu
Napenda muinekano wa simu, camera kali, kioo kizuri na performance
Storage sio issue kwangu
Mkuu Avechi ni site ya kununua simu? wanapatikana wapi?Sababu A32 ina bei doesnt mean midrange zote hazina value. Na A52 inapatikana Chini ya laki 8.
Ninayokuambia mimi hapa ni A52s ambayo ni kama 1m kwa hapa kwetu, na kwa Kenya ni kama laki 8 hivi. Hii ni premium ina mambo kibao mpaka water proof.
Kama hutaki premium unapata m52 kwa 760,000, realme gt master kwa 700,000 hivi, na redmi 11 lite 5g ne mpaka 670,000 zote hizi zipo Avechi.
Zote hizo ni simu kali zenye perfomance ya uhakika na features nyingi.
Avechi ni site ya kenyaMkuu Avechi ni site ya kununua simu? wanapatikana wapi?