wakuu bado nasubiri msaada wenu
Dept ya mining &mineral processing engineer!?hiyo haipo mkuu hakuna kitu kama icho
Wakuu niwatakie heri ya mwaka mpya.
Naomba kujua ni mahali gani nchini Tanzania naweza ku refine Gold. Pia kama kuna mahala wanatengeneza gold coins naomba msaada wa kufahamishwa.
Utapeli sio mzuri kijana fanya kazi,umewezaje kupata madini huko ulipoyapata ushindwe sehemu ya kuyasafisha? Huko mgodini upo peke yako? Acha wizi Fanya kazi halali.
Unaelewa maana ya kurefine gold? Au umeamuwa kujibu tu, kama upo coet siyo department ya mining na mineral na kama upo ww ni kilaza. Acha kutukana wakati hujui kitu. Wanafanya na vifaa vipo mi ni mteja waoAcha kuropoka vitu usivovijua weweeee!!!ieyi world bank mara maabara ya kisasa hahahahha wanazuoni wenzangu tuliopo coet wakikusikia watakuanzishia kunji..maabara!?maabara ipi iyo wakati mi mwenyewe ndo nipo maabara..P.U.M.B.A.V.U!!!!
Acha kuropoka vitu usivovijua weweeee!!!ieyi world bank mara maabara ya kisasa hahahahha wanazuoni wenzangu tuliopo coet wakikusikia watakuanzishia kunji..maabara!?maabara ipi iyo wakati mi mwenyewe ndo nipo maabara..P.U.M.B.A.V.U!!!!
Salama mkuu, Iam a private gold refiner based in Dar. For details pm me via nisalile@yahoo.comWakuu niwatakie heri ya mwaka mpya. Naomba kujua ni mahali gani nchini Tanzania naweza ku refine Gold. Pia kama kuna mahala wanatengeneza gold coins naomba msaada wa kufahamishwa.
We acha bana habari zako now wapo vizuri sana wamepata vifaa toka bank ya dunia, wapo na laboratory ya kisasa kabisa kwaajiri ya analysis mbali mbali na wataalam toka migodi mikubwa hapa nchini,
Mkuu, hiyo migodi mikubwa hapa nchini no ipi? Hao wataalamu ni wafanyakazi migodini wenyeji, au wafanyakazi migodini wenyeji?