When love is just not enough

destiny1

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2012
Posts
249
Reaction score
121
Is love enough in your life now? If not, what do you need to do, to be, to learn, or to receive so that you can honestly say to yourself that love is enough for you? :crazy:
 
When do you feel or know that you have enough love?
Cant you do with some more love?
Of all the love, kuachia ya Mungu (maana hiyo huwezi kucompare) nafurahishwa sana na love ya watoto (ambao si wangu) coz inakuwa so honest and more often they dont want a thing in return. Other loves (mf. wazazi, watoto etc) l kinda take them for granted and somehow naona kama hawana option sana zaidi ya kunipenda.
 
sometimes when we are desperately looking for a 'particular love', tunaweza tusi-realize how much love is surrounding us na mwisho wa siku tukawakatisha tamaa watu wanaotupenda dearly.
 
mhhhhhhhhh...........bado nawaza!
 
My love for God is enough when human beings despise My love for them
Tuambie kuhusu haya mapenzi ya kibinadamu Tetra, God's love is with no doubts always there and enough.
 
sometimes when we are desperately looking for a 'particular love', tunaweza tusi-realize how much love is surrounding us na mwisho wa siku tukawakatisha tamaa watu wanaotupenda dearly.
Basically, this is very tru Kaunga. Lakini je, umewahi kujihisi kuwa the love that sorrounds you is enough that you dont need 'particular love'??
 
I think the love I have in my life is NOT ENOUGH..........

what do you need to do, to be, to learn, or to receive so that you can honestly say to yourself that love is enough for you?
 
Mungu ni wa ajabu... Na Mungu ni mwema, ni nadra sana katika hali ya kawaida ukakuta kuwa mtu umekuwa deprived of love kabisa. Destiny, tatizo ambalo linatukumba wengi ni kuwa hatutosheki, haturidhiki na mbaya zaidi ni kuwa hatupo appreciative. Ni kwa makusudi kabisa kuwa Mungu aliweka huwezi ukaona roho ya mtu kama anakupenda ama anakuchukia... Unakuta a person amekazana kung'ang'ania 'love' toka mahala ambapo hio love imegoma na wala haitaki na ni batili... Then unakuta huyo mtu anaumia na kuugua kabisa kuwa S/he is not loved... Anasahau mzazi wake ambaye yupo na maybe anampenda sana, anasahau ya sibling wake ambae ukute anampenda sana, anasahau ya mtoto wake ambaye ukute pia anampenda sana na yule yeyote ambae aweza kumpenda.

Unapokuwa upo so needy... So desperate and so demanding katika feelings na emotion zako. Hata kama una love vipi haiwi 'enough'. For love to be enough inabidi hata wewe mhusika uwe na love ya kweli, sababu if you truly love you will also trust love you are given hata kama sio ya kina kirefu kama yako. Na that inatosha kama unataka amani...
 
Mpaka binadamu apate maana ya maisha na kujua amepata kile kilichomleta hapa tulipo ni mpaka ajue maana ya upendo.
'
Tunahangaika sana kutafuta pesa,wapenzi "wazuri",marafiki n.k,lakini bado tunahisi something is missing,why?
'
Hajujijui na hatujui kwanini tupo hapa,tunabahatisha tu.
'
Tunabahatisha kwa kuwa,wote tumejikuta hapa,mpaka leo sababu hakuna anaeijua yeye kuwepo hapa.
'
Kama hutaki mavurugu jifunze upendo ni nini!
 

Madam hii imetulia, will it be ok kama tukisema kuridhika is just a perception? na kama hivyo why would some one have perceptions that the love they have is not enough?
 

Hivi kwa nini tupo hapa mkuu? hebu tusaidie.............
 

Upendo ni nini sasa?
 
Madam hii imetulia, will it be ok kama tukisema kuridhika is just a perception? na kama hivyo why would some one have perceptions that the love they have is not enough?

Hapa kuna aina mbili ya watu...

Kuna mtu haridhiki na penzi analopewa sababu huyo ambae anadai anampenda (yeye) matendo tofauti kabisa na ya yule mtu ambae anakupenda. Inakuwa kuwa hio perception yake ipo on the right track.

Kuna mtu ambae hata akipendwa vipi yeye haoni kuwa anapendwa... Huyu mtu unaweza fanya kila kitu, ukamlamba hata miguu lakini ukikosea ukafanya kosa dogo (kwa bahati mbaya ama makusudi) tayari ananuna serious na toka rohoni kwake anaamini kuwa humpendi. Huyu mtu anakuwa amekosa busara na ujuvi kuwa mtu hata akupende vipi at the end of the day nae ni mwanadamu... Anaweza kukukosea (iwe kwa makusudi ama lah) lakini haina maana kuwa S/he loves you less. It only means kuwa s/he is just human... Pamoja na kusema makosa nayo yana mpaka wake.

Kwa kuongezea... Upandea wa perception... It has to do with how huyo mtu wako makes you feel. Unaweza kuta mtu wako hata hakupendi saana, au tu ile kawaida; but sababu anakufanya you feel like a Wo/man, anakuanya you feel more alive, more loved, more secure, more confident... na a lot more... You feel like anakupenda na that the 'LOVE' you have is enaf. While ki ukweli inaweza kuwa kweli anakupenda AMA anakupenda kawaida but - it is just that you love her/him enough for the both of you...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…