mleta mada ni mpenda ofa, sasa nyie muacheni tu, soma hata majibu yake anapenda kulipiwa, mara JF bure eti ntagoma, kagome huko, sasa hivi tu watu wanatuharibia JF, zamani ukikuta kitu na ukakisoma unapata elimu, siku hizi pumba ukizisoma unapata ugoro.