WhatsApp Call

Jamani tumwagieni maujuzi hayo maana huku kitasengwa hatuelewi hiyo makitu
 
Walieka tu option ya call ambayo sio real, yaani inakupeleka kwenye inbuilt call system ya simu yenyewe..

Yah mkuu hiyo ipo muda kidogo inakupeleka kwenye calls za kawaida
 
Yah mkuu hiyo ipo muda kidogo inakupeleka kwenye calls za kawaida

Hapana haikupeleki kwenye calls za kawaida! Ili kujua piga simu kwa whatsapp ukiwa imedosable data utaona kama itakubali. Isitoshe ina call register ya kwake isiyoingiliana na ya kawaida halafu kama unayempigia haja update whatsapp imagoma.
 
Yah mkuu hiyo ipo muda kidogo inakupeleka kwenye calls za kawaida

Hapana haikupeleki kwenye calls za kawaida! Ili kujua piga simu kwa whatsapp ukiwa imedisable data utaona kama itakubali. Isitoshe ina call register ya kwake isiyoingiliana na ya kawaida halafu kama unayempigia haja update whatsapp imagoma
 
Mkuu Intonjanda hili swali lako nimeshalijib kule kweny uzi wetu...sorry kwa kuchelew.
 
Last edited by a moderator:
Mara naamka si nikakuta WhatsApp wamenisogezea huduma ya kupiga simu, aisee raha kweli kama hujaipata basi update hiyo App usahau Vifurushi vya mitandao yote.
mkuu pejohn naweza sema umechelewa...hii kitu inazaid ya mwezi watu wanaitumia.
 
Last edited by a moderator:
Walieka tu option ya call ambayo sio real, yaani inakupeleka kwenye inbuilt call system ya simu yenyewe..

Nimehangaika kweli maana option ya call ipo ila ukipiga inaenda kwenye hio call system. Kwa nini sisi wametubagua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…