What u never knew about Nigeria.

What u never knew about Nigeria.

Zing

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2009
Posts
1,767
Reaction score
470
Sitaki kukumalizia uhondo cheki hii
1.


Na nyingine hii

2.



3. Episode hii ndo nimeshindwa kuielewa dah.



Utaelewa kuwa wenzetu wanajua shida ndio maana wakipata upenyo hawazubai. Sisi watanzania hatujawai kuwana shida ndio maana tu waoga waoga na hatutake risk.

Nimependa hiyo ya makoko slums. Venice version of Nigeria. Jinsi watu wanapambana na mazingira na challenges sorrounding them. yaani nyumba za mabo zinajengwa juu ya maji.

WELCOME to LAGOS

Zipo episode tatu na zote zina mundelezo zaidi ya hii niliyoweka hapa. unaweza kuzifuata youtube upate picha kamili.
 
Last edited by a moderator:
Dah!...Hii kali kweli. Shukran Zing kwa kutuhabarisha jinsi wenzetu wanavyosota...na mafuta wanayo eti.
Asemavyo mzungu,"...necessity is the mother of invention".
 
Back
Top Bottom