20 yrs, mzazi wako anakuhangaikia maisha yako ya baadae ww unazungumzia sijui mpenz, mara dini tofauti, mara sjui nin nin!! aaarrrrggggghhhhhhh! soma binti soma shule utengeneze future yako. Na kama umeshafunuliwa huko chini ktk umri huo ulonao tyr!…………una safari ndefu sana, usisahau mrejesho.