What is going on?

Huyu atakuwa kaagizwa kabisaa...
 
Tayari kishapotea kwenye game huyo,msanii ukishaingia kwenye siasa hasa za afrika kazi shila ...haitakuwa na jipya tena binti mdogo kama yy kujichanganya kayumba mwanzo mwisho mtaja nambia.
Inashangaza sana....
 
Haahhaaa...kwamba Nandy anatafta green pasturešŸ˜…

Wanawake huwa na Desturi ya Kusimuliana ni Mwanaume gani huwa anagawa sana Pesa au anajua Kutunza ili nao wajitupe wakajaribu bahati. Yawezena huyu Binti labda nae ana Ushosti na Wakubwa zake wa Uwekezaji, Kisarawe Shambani bila Kumsahau na wa Bamaga mkabala na TSN Petro Station pamoja na wa Afya za Wanadamu nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreā€¦