What is CHADEMA?

What is CHADEMA?

gasamcha

Member
Joined
Mar 22, 2014
Posts
29
Reaction score
4
Kwa taarifa yako tu, kama hujui tafadhali leo tambua kuwa CDM ilianzishwa kama wakala wenye lengo la kuwanufaisha wachaga... kirefu chake ni Chaga Development Mission Agency... sasa tusishangae tukiona leo hii wanakumbatia ukanda na ukabila. Wengine waliopo hapo ni hadaa wao ndiyo origino...Hii ni kwa taarifa yako!
 
yeah,,saccos ya wachaga kwa ajili ya wachaga
 
kuna maswali mengi sana najiuliza, uwezo wako kiakili kuhusu siasa, uwezo wako kufikirin general. what do you know and how do you stand on what you now. you will possibly come up with very hash answers. dont be of that kind , like the ones they end up singing and praising the load sisiem
 
Sifa zimwendee mzungu kwa kuweza kugundua keyboard maana inatufichia aibu nyingi sana, siamini kama kweli mtu angeweza kupata ujasiri wa kusimama mbele za watu na kujianika ujuha wao!
 
n viroba tu ndugu yangu vinasumbua akili yake, inawezekana hajua maana ya change, naa hajui maana ya maendeleo. huyu hana tofauuti na mtu akiambiwa sirikar ya sisem imejenga road toka hapa mpaka kule. na akaridhika kabisa. to me its kile unajisifia kuamka asubuhi , ukanwa uso na ukajisifia , unanawa uso kila siku asubuhi, there is nothing to be proud od , its just normal. ssm bana



Hii nchi ina watu wa ajabu sana. Huwezi amini mtu mwenye akili timamu anaweza kuweka uzi ushuzi kama huu.
 
Kua uyaone, haya yanapatikana Tanzania tu. Ukute hata hajui kesho atakula nini.

Kwa taarifa yako hao unawashabikia ni matajiri, wana uhakika wa kesho na keshokutwa. Watoto wanasoma best schools, wana investments za kutosha.

Siasa kwao ni kulinda mali zao tu.

Wewe je????
 
Kwa taarifa yako tu, kama hujui tafadhali leo tambua kuwa CDM ilianzishwa kama wakala wenye lengo la kuwanufaisha wachaga... kirefu chake ni Chaga Development Mission Agency... sasa tusishangae tukiona leo hii wanakumbatia ukanda na ukabila. Wengine waliopo hapo ni hadaa wao ndiyo origino...Hii ni kwa taarifa yako!

kwa hyo umemaliza una jingne mkuu la kuongezea
 
ndio maana huku kwetu wilayani kila Mchaga ni CDM ,si mtumishi Umma au mfanyabiasha wote.
 
Ukabila haupo Chadema.

Mbowe - Mchagga
Slaa- Mmbulu\Mbarabaig
Baregu- Mhaya
Rwakatare- Mhaya
Mnyika-
Tumbo- Mngoni
Mtemelwa- Mndengereko
Susan Kiwanga- Mpogoro

Na wengineo wengi. Ukabila unatoka wapi we mpuuzi?
 
Ukabila haupo Chadema.

Mbowe - Mchagga
Slaa- Mmbulu\Mbarabaig
Baregu- Mhaya
Rwakatare- Mhaya
Mnyika-
Tumbo- Mngoni
Mtemelwa- Mndengereko
Susan Kiwanga- Mpogoro

Na wengineo wengi. Ukabila unatoka wapi we mpuuzi?
kwanza Mnyika no Mpare,
lkn wengi wengi wa Kilimanjaro umewaacha kama Mweka Hazina wao KOMMU.
 
Ukabila haupo Chadema.

Mbowe - Mchagga
Slaa- Mmbulu\Mbarabaig
Baregu- Mhaya
Rwakatare- Mhaya
Mnyika-
Tumbo- Mngoni
Mtemelwa- Mndengereko
Susan Kiwanga- Mpogoro

Na wengineo wengi. Ukabila unatoka wapi we mpuuzi?

Mnyika Mpare na Kommu ni Mchaga.
 
Usiseme ameacha wataje we jangili

Sasa Msigwa alisema anaushahidi wa Ujangiri ,Kinana alipomburuza mahakamani Msigwa akaiomba mahakama aifute kesi eti kwa madai yeye ni mbunge anakinga.kweli CDM ni Chama cha kilaghai.
 
Acha upwompwompwo wewe. Tafuta threads zenye akili ndo uweke. otherwise check na forum za machoko ndo wana hizo mambo.
 
Unaweza vipi kupredict na kudisqualify CDM wakati unashindwa kuona madhaifu ya ccm yaliyo dhahiri hata sasa? Au ndo kuingiwa na ushirikina kisawasawa. Au mapepo.
 
Kwa taarifa yako tu, kama hujui tafadhali leo tambua kuwa CDM ilianzishwa kama wakala wenye lengo la kuwanufaisha wachaga... kirefu chake ni Chaga Development Mission Agency... sasa tusishangae tukiona leo hii wanakumbatia ukanda na ukabila. Wengine waliopo hapo ni hadaa wao ndiyo origino...Hii ni kwa taarifa yako!

Duuuuh!!! Umenena!!
 
Back
Top Bottom