waOLDmoshi
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 879
- 1,746
Nami nimejua jana baada ya kuangalia, sikuwa najua kama mb's zangu nyingi huishia instagram mwanzoni nilijua YouTube ndio unimalizia mb.Bro unamiliki page ya udaku insta? Sio kwa kuipiku whatsapp hivi.
We jamaa bhana kwa hiyo ki tecno hcho kinaingia jfmm cna cha kudownload wala kuperuz kwenye ki tecno changu cha tochi nilichonunua 23,000/- tena kipya kabisa dukani na risiti nikapewa,sana sana nikitaka kufanya madoido ya kitochi changu basi natafuta steshen moja kabaambe kabisa ya fm na kula midundo balaa,mtaniambia nini bana nyie
mkuu jf natumua PCWe jamaa bhana kwa hiyo ki tecno hcho kinaingia jf
Bila shaka u mwanafunzi wa chuo wewe.Jamiiforums, Quora, Goodreads and YouTube.
Kipi kimekufanya useme hivyo?Bila shaka u mwanafunzi wa chuo wewe.
kumbe app ya jamii forum haili mb kihivo
Exotic tanzan
Yeah inatumia wake wa mbs ni kidogo kwa sababu hakuna video streaming, words ndio uchukua nafasi kubwa na picha kwa uchache. That's why.kumbe app ya jamii forum haili mb kihivo
SAWA mkuu huku unapata maarifa kuntu afu mb chache ila sasa insta!!!!!!! umbea tu thats why nme unstall insta pamoja na mama ake fb.nmebakiza jf,whatsap na telegramYeah inatumia wake wa mbs ni kidogo kwa sababu hakuna video streaming, words ndio uchukua nafasi kubwa na picha kwa uchache. That's why.
Ni mchina?mm cna cha kudownload wala kuperuz kwenye ki tecno changu cha tochi nilichonunua 23,000/- tena kipya kabisa dukani na risiti nikapewa,sana sana nikitaka kufanya madoido ya kitochi changu basi natafuta steshen moja kabaambe kabisa ya fm na kula midundo balaa,mtaniambia nini bana nyie
na uzee huo unashinda badoo????Badoo