Kwenye stesheni ya Redio Jambo nchini kenya kuna kipindi huwa kinaanza saa nane kinaitwa reggae teke teke, na watangazaji wanaotangaza wako wawili. Mmoja anaitwa MBUSI na mwingine anaitwa LION. utawasikia wakiseme mbusi na lion teke teke. Nadhani huyu aliegonga na mh kama sio MBUSI basi atakua LION.
elimu haina mwisho. Ni hayo tu
MATAGA