Wewe ungeitwa nani? kIfO

Wewe ungeitwa nani? kIfO

JosephElly

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2012
Posts
2,432
Reaction score
1,035
Majambazi walivamia kanisa wakasema tunawaua waumini wote na tunafuata alfaphet, wakamuuliza
mchungaji anaitwa nani? Akasema Zosefu Zohana
mzee wa kanisa , naitwa Zobadia Zamwel,
mwalim wa kwaya, naitwa Zaulo Zadamu
shemasi, naitwa Zesta Zakobo
wewe ungejiitaje?

mimi ningejiita Zdonn Zmimi
 
Majambazi walivamia kanisa wakasema tunawaua waumini wote na tunafuata alfaphet, wakamuuliza
mchungaji anaitwa nani? Akasema Zosefu Zohana
mzee wa kanisa , naitwa Zobadia Zamwel,
mwalim wa kwaya, naitwa Zaulo Zadamu
shemasi, naitwa Zesta Zakobo
wewe ungejiitaje?

mimi ningejiita Zdonn Zmimi

Mkishamaliza kutaja majina yenu Jambazi linasema "Tunaanza kuchinja alphabetically from Z to A"
 
Majambazi walivamia kanisa wakasema tunawaua waumini wote na tunafuata alfaphet, wakamuuliza
mchungaji anaitwa nani? Akasema Zosefu Zohana
mzee wa kanisa , naitwa Zobadia Zamwel,
mwalim wa kwaya, naitwa Zaulo Zadamu
shemasi, naitwa Zesta Zakobo
wewe ungejiitaje?

mimi ningejiita Zdonn Zmimi

Mimi ningeitwa Aikaeli Amani Alisante Aisamambo
 
Back
Top Bottom