Wewe ungefanyaje?

Walokole wa kisumuma😅😅
Si kaandika "rasmi, alikuwa binti mrembo wa kisukuma, anavaa nguo za kujistiri sana, Yani Kwa kifupi alionekana ni binti ambaye kalelewa katika maadili ya kikristo hata katika uongeaji wake, Kila jumapili anakuambia anaenda kanisani, ijumaa kwenye maombi

Hizi zote sifa zangu ujuee😅
 
Safi sana binti wa kisukuma mlokole!! Kuwapata walokole inabidi uwe mlokole kwanza😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…