Vijana wengi wana pottential ila namna ya kuanza.Kuvumilia msoto sio kitoto.
Pia nikaja kujifunza kuwa wengi licha ya kuwa na ideas wengi tunakosa kujiamini.
Yan unajikataa mwenyewe hata kabla wengine hawajakukataa [emoji28].Courage to believe in yourself.
Sasa no body can believe you if dont believe ni your self.
so you should always learn to convince yourself first kwamba what u have is valuable.
MPaka leo nakajifunza to talk to me about my idea.Nikiwa na watu where possible i introduce my idea .Ujue we are too much afraid of ambarrasment hili pia ni tatizo.
But ukwel ninkwamba unless you talk about what you can do , no body else will do that for you.So you should always the first to make a move .
WApo watu wana subiri wakutane na wewe na kuna kipind inafika katika kuzungumza na wateja they be like "where were you all this time we have been waiting for something like this"?