mr.kayembele
Senior Member
- Nov 9, 2012
- 118
- 58
- Thread starter
-
- #21
Nlifanya field ya kwanza kwenye taasisi Moja baada ya ule mda kwisha nliendelea na majukumu, mkuu wa ile taasisi akanambia utapata chochote siku unarudi chuo, mwisho wa siku hakunipa chochote akanambia ukitaka malipo mwaka wa pili urudi hapa na wenzako wawili au watatu!
Pia alinambia niandike barua za malipo nikatii maagizo lkn wapi .....
Mwaka wa pili nlienda halmashaur X majukumu nliyokua napewa mambo hayakua ya IT kbs hata kidogo yaan kila siku ni kupanga na kupangua mafaili nkafanya maarifa nkapata muhuri na assessment ikafanyika nkasepa pale nkaenda taasis Moja kujitolea huko aiseee nusu nife njaa,[emoji1787] ndo nkaona bora nkajitose mtaani
Mara nying kwenye hiz kozi wengi wana idea nying tuu na nzuri sana sema sasa wengi unakuta hatukujengwa katika namna ya ku convert idea to become business.But trust me kuwa tu na technical know how does not help that much labda kama utapata ajira..The same to me ! Najua changamoto ya hizi course bila kujitolea walau mwaka mmoja hutoboi
Halmashuri huwa naona sii mahala sahihi sana kwa fani hizi za It [emoji1787]
Kuna njia nyingi ambazo kijana aliyemaliza chuo anaweza kuongeza kipato chake. Hapa chini nimeorodhesha baadhi ya njia hizo:
Kuanzisha biashara yako: Unaweza kufikiria kuanzisha biashara yako ya mtandaoni au ya nje ya mtandao. Kujenga biashara inayotumia ujuzi wako wa kielimu au hata ubunifu wako unaweza kuwa fursa nzuri ya kukuza kipato chako.
Kuajiriwa: Unaweza kutafuta kazi katika eneo lako la utaalamu na kuajiriwa na kampuni au shirika. Tafuta kazi inayolingana na utaalamu wako na ambayo inakupa fursa ya kujifunza zaidi na kukuza ujuzi wako.
Kufanya kazi za kujitegemea: Unaweza kujiunga na majukwaa ya kazi za kujitegemea kama vile Upwork, Fiverr, au Freelancer na kutumia ujuzi wako kufanya kazi mbalimbali kwa wateja ulimwenguni.
Kufanya kazi za kujitolea: Unaweza kutumia muda wako wa ziada kufanya kazi za kujitolea katika mashirika ya kijamii au misaada. Hii inakupa fursa ya kuonyesha ujuzi wako na kujenga mtandao wako wa kijamii.
Kuendelea kusoma: Unaweza kuendelea kujifunza na kuongeza ujuzi wako kupitia kozi za mtandaoni au mafunzo. Kupata ujuzi zaidi unaweza kuongeza fursa yako ya kupata kazi bora au hata kuanzisha biashara yako.
Kuwekeza: Unaweza kuwekeza katika biashara au hisa. Hii inaweza kusaidia kuongeza kipato chako kwa muda mrefu, lakini unapaswa kuzingatia hatari za uwekezaji na kufanya uchaguzi wa busara.
Kumbuka, hakuna njia moja sahihi ya kuongeza kipato chako. Unapaswa kuzingatia ujuzi wako, maslahi yako, na rasilimali zako zilizopo ili kupata njia inayofaa kwa
And that problem exists almost everywhere and it is an opportunityHalmashauri nyingi ziko nyuma sana kwenye IT bado wanatumia mifumo ya kizamani. Born before computer.
Unaweza kuta computer ipo kwa Ps wa boss tu.
Mambo ni magumu unajikuta unadondokea kufanya hizi kazi ambazo ni technical bases za kawaida, Kuna kipindi unakosa ramani kbs huna hata hela ya kula watu hawakuamini hasa maeneo ambayo uelewa wa watu ni mdogo nakumbuka 2021 mwanzon nlikuwa nafanya kufungulia watu account ajira portal nachaji 10k mpaka 15k unamfungulia mtu account unamuombea nafasi ya kazi akikosa anahis kama hujui kuomba🤣The same to me ! Najua changamoto ya hizi course bila kujitolea walau mwaka mmoja hutoboi
Mara nying kwenye hiz kozi wengi wana idea nying tuu na nzuri sana sema sasa wengi unakuta hatukujengwa katika namna ya ku convert idea to become business.But trust me kuwa tu na technical know how does help labda kama utapata ajira..
Mambo ni magumu unajikuta unadondokea kufanya hizi kazi ambazo ni technical bases za kawaida, Kuna kipindi unakosa ramani kbs huna hata hela ya kula watu hawakuamini hasa maeneo ambayo uelewa wa watu ni mdogo nakumbuka 2021 mwanzon nlikuwa nafanya kufungulia watu account ajira portal nachaji 10k mpaka 15k unamfungulia mtu account unamuombea nafasi ya kazi akikosa anahis kama hujui kuomba[emoji1787]
Mambo ni magumu unajikuta unadondokea kufanya hizi kazi ambazo ni technical bases za kawaida, Kuna kipindi unakosa ramani kbs huna hata hela ya kula watu hawakuamini hasa maeneo ambayo uelewa wa watu ni mdogo nakumbuka 2021 mwanzon nlikuwa nafanya kufungulia watu account ajira portal nachaji 10k mpaka 15k unamfungulia mtu account unamuombea nafasi ya kazi akikosa anahis kama hujui kuomba[emoji1787]
And that problem exists almost everywhere and it is an opportunity
Hata wafanyakazi wa halmashaur bado uelewa wao ni changamoto hawapo radhi kuendana na mabadiliko unakuta ofisini software nyingi zinazotumika ni za zamani secretary anatumia window 7, Ms 2007 mifumo ya network tangu iwe installed hamna Cha maintainanceHalmashauri nyingi ziko nyuma sana kwenye IT bado wanatumia mifumo ya kizamani. Born before computer.
Unaweza kuta computer ipo kwa Ps wa boss tu.
Yah ni kwel na hiki ndio wanakosa wengi.I think vijana wawili au watatu wa IT wakijiunga na kijana mmoja wa bussiness aliye major kwenye marketing wanaweza kuunda kampuni ndogo ambayo kazi yake itakuwa ku solve IT issues kwenye ofisi mbalimbali. Kwa kuanza IT you dont need much capital cha zaidi ni kuwa na skills tu.
Yah ni kwel na hiki ndio wanakosa wengi.
Mimi i ddnt wait tuwe wawil wala business guy.. i started alone..and l did learn a business language. Marketing skills and sales..nilijifunza hard way na kwa makosa mengi but i persisted maana nilijisoma kama nina vitu vingi sana that i can offer but ugum ni namna ya kuvi present kibiashara mtu akuelewe hili ndio tatiO tulilo nalo wengi sana.. u cant believe nikiwa alone nikafanikiwa ku convince taasis kama 9 alone.. huwajui hawakujui but the business talk just make you partners..
Technical mimi
Marketing mimi
Sales mimi
Suport mimi
Customer care mimi
Everyrhing mim lakin kwakua hakuna namna i did it alone and it was doable japo una toil sanaa vijana ukiomba wajitolee na wewe wanakuambia utatulipa nini??
Wakat hapo wewe clients wengine u guve the software for free ili tu kujenga trust baadae huko ndio unakuta wanaanza kukulipa.
So dont wait..usigope kuwa alone...gud people watakubjoin mbele ya safar hukoooo
Hata wafanyakazi wa halmashaur bado uelewa wao ni changamoto hawapo radhi kuendana na mabadiliko unakuta ofisini software nyingi zinazotumika ni za zamani secretary anatumia window 7, Ms 2007 mifumo ya network tangu iwe installed hamna Cha maintainance
😁 Issue ni kuaminika kaka kujenga Imani hadi watu wakuamini inachukua mda sana, naongea kwa uzoefu!I think vijana wawili au watatu wa IT wakijiunga na kijana mmoja wa bussiness aliye major kwenye marketing wanaweza kuunda kampuni ndogo ambayo kazi yake itakuwa ku solve IT issues kwenye ofisi mbalimbali. Kwa kuanza IT you dont need much capital cha zaidi ni kuwa na skills tu. Nchi yetu hii IT personel ni wachache sana na service nyingi tuna outsource .
[emoji16] Issue ni kuaminika kaka kujenga Imani hadi watu wakuamini inachukua mda sana, naongea kwa uzoefu!
Baada ya kujifunza java tukaungana watatu wawili wanatengeneza desktop app Mimi natafuta masoko unakuta watu wanahitaji lkn wanakua na wasi wasi, unaenda pharmacy wanakwambia wanahitaji unakusanya data ukishamaliza ukiomba advance ni kosa [emoji1787][emoji1787]unakaa kimya, ukimaliza ndo utapata Hela na venye hawatoi kama mlivokubaliana kama mlikubaliana 300k ukipata 200k shukuru Mungu kimbia usigeuke nyuma
Urasimu ndugu yangu!Sasa hapo ndio fursa mkuu! Unakwenda kwa mkuu wa kitengo ! Unampa athari za kutumia outdated software lakini unampa wayforwad sikumoja moja unawapa training ya computer unafanya maintanance kidogo watakuamini tu Mimi nilikuwa mjanja sana fursa kama hizi nilikuwa nakomesha
Vijana wengi wana pottential ila namna ya kuanza.Kuvumilia msoto sio kitoto.Thats Great mkuu! Natamani watu wote waje wasome hii comment kuna jambo hapa mhimu sana watajifunza