Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,933
- 13,944
Sio kila aliesoma had chuo kikuu ana akili, sio kila aliechaguliwa au kuteuliwa kuwa kiongozi bas ana akili timamu na sio kila anaeitwa Dr bas ukajua kichwa ana akili wengne Mungu alitujalia uwezo wa kukalili ila akatunyima akili za kupambanunua mambo kwa weledi na kufanya maamuzi yaliyo sahih
NB: Sijatukana.
NB: Sijatukana.
