lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,710
- 3,391
Ingelikuwa Mimi wewe ningeachia ngazi ,mama alitakiwa akupe MTU akusaidie kazi hivi najiuliza sana hukuona makubaliano uliyoingia na hayo makampuni ya simu kuwa ni tatizo...hii ni aibu juu yako kushindwa kutambua nn ni kitu bora na affordable kwa wananchi walio wengi...kwakuwa labda ni wa maziwa na asali za kusaza kwahivyo ukaona kila mmoja atamudu ulikosea sana yaani Mara kumi mngeacha uleule utopolo wa zamani kuliko huu mpya wa bei juu mno...halafu hakuna aliye juu ya serikali na serikali ndio top....inakuwaje mtoe tamko la kutangua vifurushi bado makampuni yamedindisha?hawajatangua kama wewe umeshindwa kutupambania kaa pembeni... Kama ni mikataba wewe ndio ulitakiwa upime je walaji watamudu? You must go...

