Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,502
- 9,282
Rushwa inapokuwa jambo la kawaida kwenye Jamii, huwafanya Watu kuona ni lazima kutoa Rushwa ili kupata huduma bora, na hivyo kuendeleza tatizo.
Kwenye Vituo vya Afya, Zahanati na Hospitali baadhi ya Wagonjwa hujikuta wakiteseka kwa kukosa Matibabu bora kutokana na kushindwa kutoa Hongo hasa Makundi yanayotakiwa kupewa Huduma bure (Watoto chini ya Miaka 5, Wajawazito na Wazee).
Kutokana na upendeleo na unyanyasaji wa rushwa, inaweza kusababisha kuongezeka kwa matatizo ya kijamii na kiuchumi. Wale wasioweza kutoa rushwa wanaweza kubaki bila huduma sahihi za afya.
Rushwa inaweza kusababisha mianya katika ununuzi wa vifaa tiba na rasilimali nyingine. Hii inaweza kuathiri upatikanaji wa vifaa muhimu na hivyo kusababisha uhaba katika huduma za afya.
Kwenye Vituo vya Afya, Zahanati na Hospitali baadhi ya Wagonjwa hujikuta wakiteseka kwa kukosa Matibabu bora kutokana na kushindwa kutoa Hongo hasa Makundi yanayotakiwa kupewa Huduma bure (Watoto chini ya Miaka 5, Wajawazito na Wazee).
Kutokana na upendeleo na unyanyasaji wa rushwa, inaweza kusababisha kuongezeka kwa matatizo ya kijamii na kiuchumi. Wale wasioweza kutoa rushwa wanaweza kubaki bila huduma sahihi za afya.
Rushwa inaweza kusababisha mianya katika ununuzi wa vifaa tiba na rasilimali nyingine. Hii inaweza kuathiri upatikanaji wa vifaa muhimu na hivyo kusababisha uhaba katika huduma za afya.