Icho kiatu nime kielewaView attachment 2255057Nilishawahama muda tu, huduma zao haziridhishi, sometimes wanabania ticket za economic wanauza VIP, ukienda VIP hakuna maajabu, huduma za Zan Fast Ferry ziko poa sana.!
Poleni😄Wewe kijana mkata tiket azam fast feries jana jion dirisha namba 4 hapo Dar una kiburi na huna huduma nzuri kwa wateja. Majira ya jion jana sisi wengine hatujawah kufika Zanzibar hatujui madaraja hatujui nauli kias gani au zile ethics zote za huduma kwa wateja.Unakaa unakunja kunja midomo hujibu hutoi sauti unaona kama wewe ndio Abubakar.
Wafanyakazi waswahil siku zote ndio mnajiona tajiri kakaa huko anajua mna huduma nzuri kumbe mmekaa tu jana mama kabidi aende zan fast feris kwa hasira tu ya jinsi mnavyo handle wateja mnamkosesha hela tajiri, badala uwe sharrp lugha nzuri umuelezee mteja seat zipi nzuri umekaa kuvuta midomo utafikir mtoto wa kike husem seat kama silver na gold ipi nzuri.
Ushauri:
Tajiri hapo vijana wanakuharibia kazi, tulichukia sana kwa kweli
Huyo kijana ni mweusi na ana miaka 28-33, ana dharau na ni Boya kweli . Kuna siku elfu tano yangu ilichanika kidogo akagoma kupokea, nikamwambia hii hela haijaharibika kivile, isitoshe nyie mna deposit bank akagoma,. Abiria wezangu waliokuwa nyuma yangu wakamwambia hiyo hela haijachanika vibaya..Wewe kijana mkata tiket azam fast feries jana jion dirisha namba 4 hapo Dar una kiburi na huna huduma nzuri kwa wateja.
Tajiri hapo vijana wanakuharibia kazi, tulichukia sana kwa kweli
Labda hataki kutumia sauti yake kazini ataenda kuitumia home kwa basha wake.!!nafikir amekariri kila anayeenda pale ni mmuunguja akifika anatoa 30000 anapewa daraja la kawaida.kumbe kuna wateja wanataka kwemda ku enjoy zanzibar anataka apate daraja vip.yeye kwanza hatoi sauti unamuuliza mpaka unafanya jitihada kuchungulia kwenye kadirisha umsikie sauti punbav kabisa
Kiukweli mkuu nisiwe mwongo sijawahi panda hiyo VIP, huwa naishia platinum tu.! Platinum iko luxury, siti kubwa na vionjo vionjo vichache vitakavyokufanya uwe more comfortable, na pia unaweza kubahatka ukapa pisi kali au ukamvua mzungu pisi yake, ila ndo ujipange.!Mkuu. VIP 350,000 kuna swimming au? Hahahaha dah bei ya ndege.
Unaweza kutugusia gusia vilivyomo VIP?
Hahaaa, uwe na chogo halafu mwesiii,Wanatuitaga Machogo. Aliona Chogo unamsumbua tu na maswali yako[emoji3]
Mh, mwanaume kuwa kwenye siku zake?Zanzibar Ina maajabu yake, unaweza kukuta alikua kwny siku zake ndio maana hakua na mood(pamoja na Kwamba Ni mwanaume).
Wakenya wako vizuri kwenye customer care, hotel nyingi wameajiriwa,Dawa ni kuajiri ndugu zetu wa Kenya. Utashangaa level ya customer care. Majirani wetu wazuri kwa hili. Narudia tena wazuri kweli kweli.
Mbona kijana jeuri sana na anaachwa tu?Huyo kijana ni mweusi na ana miaka 28-33, ana dharau na ni Boya kweli . Kuna siku elfu tano yangu ilichanika kidogo akagoma kupokea, nikamwambia hii hela haijaharibika kivile, isitoshe nyie mna deposit bank akagoma,. Abiria wezangu waliokuwa nyuma yangu wakamwambia hiyo hela haijachanika vibaya..
Akagoma na kunijibu nikadepost chooni kwangu, nikapanic na kumtukana ya nguoni, kwa kuwa Kuna kioo kimetutenganisha akajaribu kunivuta mkononi kwa yale madirisha na mkononi nina kitambulisho, bahati nzuri alinishika vibaya nikamsukuma ... mwishowe wale walinzi wakaja, na kunipereka kwa wale polisi wa getini,. Wale polisi walinielewa wakaniacha nikaenda Zanzibar 1 kukata ticket na Wala hawakubagua wakaichukuwa hiyo hiyo 5,000/=
Hako kadirisha hakatoi nafasi ya kumchapa kibao!?nafikir amekariri kila anayeenda pale ni mmuunguja akifika anatoa 30000 anapewa daraja la kawaida.kumbe kuna wateja wanataka kwemda ku enjoy zanzibar anataka apate daraja vip.yeye kwanza hatoi sauti unamuuliza mpaka unafanya jitihada kuchungulia kwenye kadirisha umsikie sauti punbav kabisa