Aldonae
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 598
- 396
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Habari wadau.
Nimekaa na wana hapa maeneo ya "Ujinga Hauishi".Mara akapita mtoto mkaliiiiiiiii wuuuuuuh!!!!!!Kama ilivyo ada,wadau tukathaminisha vima kwanza,a.k.a rachu.Baada ya hapo,kuna jinga likaropoka "Daaah wenye pesa wanafaidi bhana,ngoja na mimi nizipate"
Ni hivi,nyinyi endeleeni kutafuta pesa,ila sisi watoto wazur tangu enz za sare ni bukta za bluu,tunawala.Kidato,tukawalaaa,chuo aaaaaaam,mtaani aaaaam!!!!!!!!!!!!!!
Huku katika mishemishe napo,wembe ule uleeee!!!!!!!!!!!!!!!!
Nimekaa na wana hapa maeneo ya "Ujinga Hauishi".Mara akapita mtoto mkaliiiiiiiii wuuuuuuh!!!!!!Kama ilivyo ada,wadau tukathaminisha vima kwanza,a.k.a rachu.Baada ya hapo,kuna jinga likaropoka "Daaah wenye pesa wanafaidi bhana,ngoja na mimi nizipate"
Ni hivi,nyinyi endeleeni kutafuta pesa,ila sisi watoto wazur tangu enz za sare ni bukta za bluu,tunawala.Kidato,tukawalaaa,chuo aaaaaaam,mtaani aaaaam!!!!!!!!!!!!!!
Huku katika mishemishe napo,wembe ule uleeee!!!!!!!!!!!!!!!!