TZ kijeshi iko fit sana,hapa East africa na central hakuna wa kuigusa,nilimshangaa kagame eti anajaribu kumkoromea JK,TZ ni taifa kubwa lililoweka tawala nyingi madarakani africa,hata S.A sisi tuli fight sana hata wakafika pale walipo.sasa ni zamu ya congo kupata liberation toka kwetu,kagame akileta zake,tunamdunda na kumtoa madarakani.