Westernization Vs Africarnization

Judgement

JF-Expert Member
Nov 13, 2011
10,327
4,779
Hapahitajiki debate kua mfumo wa Westernization ambao is an article about the influence of Western culture.
Customs ya Western ndiyo civilization ilipoanzia , na baadae wakaja kuwafundisha Africarnization ustaarabu.

Ndivyo ilivyo kwamba kwetu sisi , mengi tuyafanyayo yafananayo na umagharibi ndivyo tuonekanavyo tupo advance with present time .

Leo nitaanza kulisemea moja, la MAVAZI especially ya Wadada.
Hawa dada zetu mlio hapa mnapovaa nguo za KICHOKOZI au UTATANISHI yaani mf. Vile vimini vya tepetepe, transparence vya robo au nusu uchi malengo yenu nini?

Aidha hapa Jamvini nimeshakutana na posts kadhaa za male members zikisifia nguo hizi za wadada zilizoibuka masiku ya karibuni ambazo huonesha mstari utenganishao matiti , na nusu ya matiti kwa eneo la juu kubaki nje wazi , (kama gazeti hivi ! )
Then nikawasikia baadhi ya wakaka wakisifia hiyo fashion kwamba kwao ni burdani waonapo.

Hapa nina maswali mawili kwa wakaka na mawili kwa wadada.
Kwa wakaka ;-
1. Ikiwa unavutiwa na hii mivao ya kimagharibi, je? Iwapo Dada , Mke, Feancee, Aunt wako nae atakua ni muumini wa mivao hiyo utaburudanika pia?
2. Je? Unaisemeaje mivao ya Kiafrika na ya Western ipi ndiyo iko kimaendeleo ?

Kwa wadada ;-
1. Mvaapo kimagharibi dhamira hua mnampendezesha mwanamke mwenzio au mwanaume? Zingatia mwanamke mwenzio ayaonapo matitiyo itamshawishi au kumvutia nini ?
2. Je? Mnaamini uvaaji wa western ndiyo mwenda na wakati na mnakua more advance Kimaendeleo ? Na mivao ya kiafrika iko late time ?
 
Hapahitajiki debate kua mfumo wa Westernization ambao is an article about the influence of Western culture.
Customs ya Western ndiyo civilization ilipoanzia , na baadae wakaja kuwafundisha Africarnization ustaarabu.

Ndivyo ilivyo kwamba kwetu sisi , mengi tuyafanyayo yafananayo na umagharibi ndivyo tuonekanavyo tupo advance with present time .

Leo nitaanza kulisemea moja, la MAVAZI especially ya Wadada.
Hawa dada zetu mlio hapa mnapovaa nguo za KICHOKOZI au UTATANISHI yaani mf. Vile vimini vya tepetepe, transparence vya robo au nusu uchi malengo yenu nini?

Aidha hapa Jamvini nimeshakutana na posts kadhaa za male members zikisifia nguo hizi za wadada zilizoibuka masiku ya karibuni ambazo huonesha mstari utenganishao matiti , na nusu ya matiti kwa eneo la juu kubaki nje wazi , (kama gazeti hivi ! )
Then nikawasikia baadhi ya wakaka wakisifia hiyo fashion kwamba kwao ni burdani waonapo.

Hapa nina maswali mawili kwa wakaka na mawili kwa wadada.
Kwa wakaka ;-
1. Ikiwa unavutiwa na hii mivao ya kimagharibi, je? Iwapo Dada , Mke, Feancee, Aunt wako nae atakua ni muumini wa mivao hiyo utaburudanika pia? huwezi vutiwa kimapenzi na dada/aunti yako under normal cases.
2. Je? Unaisemeaje mivao ya Kiafrika na ya Western ipi ndiyo iko kimaendeleo?its just fashion, mbona mavazi ya ki-nijeria inapendeza wamama

Kwa wadada ;-
1. Mvaapo kimagharibi dhamira hua mnampendezesha mwanamke mwenzio au mwanaume? Zingatia mwanamke mwenzio ayaonapo matitiyo itamshawishi au kumvutia nini ? who cares? mwanamke hatavutiwa na mwanamke mwingine unless ni lesbian!! mavazi ni ya kumvutia mwanaume, ask yourself ukivaa suti mpya unategemea wanaume au wanawake wavutiwe nayo s
2. Je? Mnaamini uvaaji wa western ndiyo mwenda na wakati na mnakua more advance Kimaendeleo ? Na mivao ya kiafrika iko late time ?its a fashion thing, some people are bored wearing the same (blouse/skirt or draping dress) as everybody else


replies in blue
 
Back
Top Bottom