Hata upande wa Bank sijui kuna shida gani.. Nimekuwa natumia account ya USD Equity bank lakini cha kushangaza eti client mpya ananiambia kuwa swift code haitambuliki.. Anyway jumatatu nitakwenda bank kuuliza maana hata sielewi shida nini
Hata upande wa Bank sijui kuna shida gani.. Nimekuwa natumia account ya USD Equity bank lakini cha kushangaza eti client mpya ananiambia kuwa swift code haitambuliki.. Anyway jumatatu nitakwenda bank kuuliza maana hata sielewi shida nini