Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Katika kile kinachoonekana kwa watendaji hawa wa Serikali katika Ngazi ya Mitaa kutofurahishwa na uamuzi wa kupokwa Mihuri yao na kulazimishwa kukasimisha baadhi ya Majukumu kwa watendaji wao wameamua kugoma kuanzia leo.
Japo kuna tetesi kuwa kuna Viongozi wenzao hasa kutoka chama fulani wamewasaliti wenzao.
Taarifa kamili zitakuja
Japo kuna tetesi kuwa kuna Viongozi wenzao hasa kutoka chama fulani wamewasaliti wenzao.
Taarifa kamili zitakuja