Tulimchagua magufuli wala sio chama
Tamko hili limetolewa baada ya mwezi mmoja. Hii ni baada ya Rais kuchukua hatua kadhaa kiutendaji. Sasa wewe ulitaka tamko hili litolewe lini? Au ulitaka litolewe siku ya kwanza tu? Wakati mwingine tunalazimika kutafakari kwanza kabla hatujatoa hoja.
Pongezi gani hizo za kinafiki...
Toka Magufuli aanze kukimbizana na majipu sijamsikia Kinana wala Nape akitoa pongezi, na wao naona ni majipu pia.
Mungu mlinde JPM