babaMike
Member
- Dec 19, 2022
- 31
- 27
Habarini wanajamvi, nimekuwa nikisikia watu wakisifia sana kuwa Msumbiji kuna pesa sana ukipeleka biashara mfano nguo, urembo hata bidhaa za vyakula kama mboga mboga, mtu aliepo huko, au ashawahi ku involve na biashara huko atupe experience hapa.
Nawasilisha.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nawasilisha.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app