Nimefikia hapo,
Nataka nijichange tena bado wiring, shimo la choo, kuweka mifumo ya maji , na vingine ambayo bado vinaonekana hapo.. naomba kujua kipi kinaanza Kati ya hivyo na nimalizie na kipi.
Ningepata hata na gharama ningepata picha zaidi.
Msaada please.
View attachment 1759527