Wenye uhitaji wa mikopo ya haraka

Wenye uhitaji wa mikopo ya haraka

kampuni yetu ya african capital, tunatoa mikopo ya haraka ndani ya saa24 , kwa wafanyakazi wa serikali na sekta rasmi .. hauhitaji kuweka dhamana ya mali au kuwa na wadhamini.

unachotakiwa ni kuwa na salary slip za miez mitatu ya karibuni, id ya uraia, id ya kazi na p/size pamoja na bank statement ya miezi mitatu ya karibuni.

wenye uhitaji wa mkopo wanipim .

karibuni
napatikana wapi?
 
Hebu wekeni riba zenu wazi isije ikawa beipoti no.2

Hahaha bei port salute eee!! Kuna kampun nyingne mbona nzuri sana inatoa mkopo sa moja tu mpaka 24 tena hapo unakuta kuna dharula ni fasta sana pia unapewa kadi inayonyesha makato yako,mda wa kuanza na kumaliza liba kidogo sana huwez amin siyo ingine ni MABOTO ENTERPRISES LIMITED
wanapatikana kila wilaya tz ispo kuwa dar,dodoma na arusha,kama vip una nipm tu.
 
mikopo yetu ni kwa muda usiozidi miezi 60
 
kampuni yetu ya african capital, tunatoa mikopo ya haraka ndani ya saa24 , kwa wafanyakazi wa serikali na sekta rasmi .. hauhitaji kuweka dhamana ya mali au kuwa na wadhamini.

unachotakiwa ni kuwa na salary slip za miez mitatu ya karibuni, id ya uraia, id ya kazi na p/size pamoja na bank statement ya miezi mitatu ya karibuni.

wenye uhitaji wa mkopo wanipim .

karibuni
Riba ni asilimia ngapi?
 
Ok nikikopa milioni 5 nalipa sh ngapi, kwa muda gani
mkuu tunaanzia kutoa mikopo 200,000 hadi 10 milioni. mikopo yetu inaanzia muda miezi sita hadi miezi 60 .. unachagua wewe muda wako. karibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom