johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,129
Hata Mbowe akija tutamuachia ubunge wake!Kama ambavyo magufuli anawafanya hamna hata wa kumhoji tangu lini gekul na kalanga wakawa na nguvu kushinda nyie watetezi wa chama wa muda mrefu? Wanachukua ubunge kwa ubua sana nyie mnabak macho tu si umemuona katambi na machali
Chadema unawaonyesha tu magari matano wanasahau kila kitu!Kama kuongoza CCM,ukishawapa Wanachama yale Manguonguo ya kijani wao ni kuimba mbele kwa mbele.
Labda huelewi kuwa Mbowe anaongoza wanachadema tu na Magufuli anaongoza wanaCCM na wanaCDM na wengine wote! Kwa hiyo unaposema 'sie' inamaana unawasemea na wanaCdm pia. Kitu ambacho sio sawa.Chadema hampo tofauti na sie tunaotaka Magufuli aongoze angalau kwa miaka 20,ili tunyooke vizuri
Wekeni akiba ya maneno,demokrasia inaanzia nyumbani kweli kama mlivyosema
Kwa kuwa mshapoteza uelekeo mnafikir kuchukua wapinzani ndo kujenga viawanda.Hata Mbowe akija tutamuachia ubunge wake!
Tatizo mheshimiwa Consultant hutendei haki jina unalojiita. Hivi waweza kusema ni wapi katika katiba ya Chadema Mbowe amevunja kugombea uongozi tena? Angeweza kuachia madaraka pamoja na kuwa katiba haimzuii, lakini wanachama wanataka aendelee kwani mpnzani wao mkubwa CCM anataka aondoke na anatumia propaganda na mbinu za kishenzi kumkomoa kiuchumi. Kwanini wanataka aaondoke? Ndio na wao wanasema haondoki.Kama mitizamo ndio hii, basi hakuna haja ya vyama vya upinzani kuendelea kupiga ngonjera za kutaka kuitoa CCM madarakani. Acha CCM "iendelee kuongoza tu maana wananchi ndo wanaiweka" Charity must begins at home. Kutokuwa na ukomo wa uongozi kwenye katiba ya CHADEMA na vyama vingine vyote vya siasa ni aina flani ya ufisadi, ulafi na unkurunzinza.
Katiba ya Chadema ilikua ni miaka mwisho kabisa miaka 10 lakini kipindi cha Mbowe kilipokaribia kuisha Mbowe na Genge lake wakabadili katiba. Sio Wote ndani ya Chama waliopenda katiba iweke misingi ya Kidikteta kwenye Chama kinachopigania Demokrasia. Dhambi ya Mbowe kubadili katiba ili aongoze Daima itakigharimu Chama sana . Tena wakati huo serikali iliyokuwa madarakani na Chama chake hawakua na muda wa kuwafuatafuata wapinzani ili warudi CCM lakini bado Mbowe alijidai kuwa yeye ni kiboko ya CCM yeye peke yake.
Nawashangaa watu kama akina Kubenea na Komu wenye Fikra pevu kuendelea kubaki gerezani ndani ya Chadema wakati Rais wa Nchi na amirijeshi mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama ameshawaita wapinzani wote wanaosumbuka na kulemewa na mizigo waende wakapumzike kwenye Chama cha mapinduzi na serikali yake.
Muda waliopewa ni sawa na askari magereza kuacha mlango wazi,wafungwa wenye akili watatoroka na kwenda sehemu salama.
Hasa Kubenea usipoteze Muda ndani ya Chadema ,hicho ni Chama cha mtu ninafsi kwa manufaa yake na wale anaowataka.
Ha ha ha haaaa... Mafisadi na akina mnyeti wako CDM?Kwa nini mnalea watenda jinai!? Hii nimeiona Only in Chadema.
Muwekeni kwenye chama chenu, uzuri wake katiba yenu pia inaruhusu.Chadema hampo tofauti na sie tunaotaka Magufuli aongoze angalau kwa miaka 20,ili tunyooke vizuri
Wekeni akiba ya maneno,demokrasia inaanzia nyumbani kweli kama mlivyosema
Umesahau jina na namba ya simuHata CCM mwenyekiti wetu hataki kuendelea kuwa mwenyekiti sema sisi wanachama ndio tunataka aendelee kuongoza angalau hata miaka 50. Yaani itaniuma sana aliondoka baada ya miaka kumi tu. Sema tukifanya hivyo tutakuwa tunakiuka katiba ya chama. Na demokrasia tutakuwa tumeivunja kwa makusudically.
Nadhani hapa ndo tatizo lilipo kwenye hivi vyama vyetu. Lipumba na John Momose Cheyo wamekuwa wenyeviti wa vyama vyao tangu mid 90's (miaka ambayo baadhi ya watu humu ndani walikuwa hawajazaliwa bado) na eti "wanachama wanawataka waendelee". Kuna tatizo mahali flani.Tatizo mheshimiwa Consultant lakini wanachama wanataka aendelee kwani mpnzani wao mkubwa CCM anataka aondoke.
Wanamaanisha kwamba jamaa hajikwezi. Hizo ndizo siasa, hadharani na sirini ni sehemu mbili tofauti.Hahahahaha akyambongo eti "yeye mwenyewe huwa hataki"
Ndiyo hivyo !!!!!Hahahahaha akyambongo eti "yeye mwenyewe huwa hataki"
Wakishapewa hayo Manguonguo ya Kijani akili uwa zinahama.
Kwa nini wasiweke kwenye katiba ya Nchi wakati watanzania ndio watakaomlazimisha ondoa kifungu cha ukomo wa rais kuwa madarakani kwenye katiba na Chama chake kina wingi wa kura za kuipitisha.Muwekeni kwenye chama chenu, uzuri wake katiba yenu pia inaruhusu.
Tumeshuhudia CCM na washabiki wake wakitumia nguvu kubwa kutaka Mbowe aondolewe kuiongoza Chadema wakisema amechokwa na anatumia hila kuendelea kuwepo madarakani.
Sasa wenye chama wamejibu kuwa wao ndio wanataka aendelee ili malengo ya chama yatimie. CCM kamwe haiwezi kuichagulia Chadema Jenerali wa kuongoza mapambano, maana wanataka wampate mpinzani wa category ya Mrema.View attachment 902926