Wenye nyumba wanamtaka kiongozi wao, jirani inawauma nini?

Kama ambavyo magufuli anawafanya hamna hata wa kumhoji tangu lini gekul na kalanga wakawa na nguvu kushinda nyie watetezi wa chama wa muda mrefu? Wanachukua ubunge kwa ubua sana nyie mnabak macho tu si umemuona katambi na machali
Hata Mbowe akija tutamuachia ubunge wake!
 
Chadema hampo tofauti na sie tunaotaka Magufuli aongoze angalau kwa miaka 20,ili tunyooke vizuri
Wekeni akiba ya maneno,demokrasia inaanzia nyumbani kweli kama mlivyosema
Labda huelewi kuwa Mbowe anaongoza wanachadema tu na Magufuli anaongoza wanaCCM na wanaCDM na wengine wote! Kwa hiyo unaposema 'sie' inamaana unawasemea na wanaCdm pia. Kitu ambacho sio sawa.
 
Tatizo mheshimiwa Consultant hutendei haki jina unalojiita. Hivi waweza kusema ni wapi katika katiba ya Chadema Mbowe amevunja kugombea uongozi tena? Angeweza kuachia madaraka pamoja na kuwa katiba haimzuii, lakini wanachama wanataka aendelee kwani mpnzani wao mkubwa CCM anataka aondoke na anatumia propaganda na mbinu za kishenzi kumkomoa kiuchumi. Kwanini wanataka aaondoke? Ndio na wao wanasema haondoki.
Hayo ya CCM hakuna anaye ngilia lakini ya Kitaifa tunataka Katiba na sheria zifuatwe. Hivi nani aliwahi kuhoji au kulalamika jinsi Mwenyekiti wa CCM anavyopatikana? hayo yao wenyewe na ya wengine hayawahusu
 

 
Chadema hampo tofauti na sie tunaotaka Magufuli aongoze angalau kwa miaka 20,ili tunyooke vizuri
Wekeni akiba ya maneno,demokrasia inaanzia nyumbani kweli kama mlivyosema
Muwekeni kwenye chama chenu, uzuri wake katiba yenu pia inaruhusu.
 
Umesahau jina na namba ya simu
 
Audio inasema BONI ndiye anayempa uhalali Mbowe wewe unakuja na story za Mbu wa Kijani
 
Tatizo mheshimiwa Consultant lakini wanachama wanataka aendelee kwani mpnzani wao mkubwa CCM anataka aondoke.
Nadhani hapa ndo tatizo lilipo kwenye hivi vyama vyetu. Lipumba na John Momose Cheyo wamekuwa wenyeviti wa vyama vyao tangu mid 90's (miaka ambayo baadhi ya watu humu ndani walikuwa hawajazaliwa bado) na eti "wanachama wanawataka waendelee". Kuna tatizo mahali flani.
 
Muwekeni kwenye chama chenu, uzuri wake katiba yenu pia inaruhusu.
Kwa nini wasiweke kwenye katiba ya Nchi wakati watanzania ndio watakaomlazimisha ondoa kifungu cha ukomo wa rais kuwa madarakani kwenye katiba na Chama chake kina wingi wa kura za kuipitisha.
Suala ni kuwa hatutaki ajipe mamlaka hayo peke yake bali bunge muhimili halali.

Hapo ndipo Mbowe atakapogundua umuhimu wa kuheshimu katiba hasa kwenye nafasi ya uongozi. Hakuna mtu mmoja anayeweza kujenga Chama.
Hata Mwalimu alipewa Kuongoza Chama sio kwa sababu alikua ndiye kibako ya wakoloni la hasha ni kwa sababu alikua na elimu kubwa kubwa kwa wakati huo ukilinganisha na wapambanaji wenzake. Lakini kuna watu walianza kupambana tangu mwaka 1922 wakati anazaliwa.

Mbowe alitakiwa afuate mkondo wa wapigania Uhuru wetu ambao walimkabidhi Mwalimu Chama kutokana na Elimu yake na sio fedha kama leo Wanachadema wengi wanaofikiri kuwa fedha za Mbowe ndizo za muhimu katika kuongoza Chama na kujenga itikadi ya nguvu ya umma bila kujali uwezo wake kielimu. Chama sio kuongoza kwa ujeuri tu Bali ni maarifa na kujua falisafa na mbinu mbalbali za kukabiliana na wapinzani wake ambao kimsimgi wanaelimu kubwa kuliko yeye.
Mfano kupambana na safu ya uongozi wa sasa wa CCM ni kazi ngumu Sana kwa Mbowe zaidi ya kubaki akitukana na kujisifu huku akiwalazimisha wabunge wake wasishirikiane na serikali bila kuwaambia mipaka ya ushirikiano iwe ni ipi , matokeo yake wanajikuta wakipinga mpaka maendeleo ya majimbo yao kwa kufuata maelekezo ya kiongozi asiye na maarifa.
 

Acha uzwazwa wewe....mbona mnasifia wazungu wanapompinga Kagame ama Museveni??.....watu wa nje wanaweza kuona tatizo ambalo nyinyi mliokua ndani hamlioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…