Wenye miaka 40 hatuajiriki?

Wanaogopa mtaenda kulala tu huko maofisini

kabla hujapost mchango wako, jaribu kuutathmini kama unamantiki! Kwa taarifa yako wengi wa wafanyakazi wa vyeo vya juu wana umri zaidi ya miaka 40. Na ni watendaji wazuri tu!
 
Miaka 40 unaeweza kiingia ktk siasa na kugombea Urais..
 
Kaka...at 40 bado unafikiria kuwa mtumwa???? mimi hapa nina hit 40yrs this yr na nilishajipanga kustaafu toka utumwani but pia naona nimechelewa sana kufanya hivyo ingawa nilishajiandaa more than 5yrs ago..!
 
Miaka 40 ushazeeka

usimkatishe tamaa. 40 bado ni kijana mdogo.. katika mazingira ya kawaida na hizi technologia na kwa mujibu wa ILO productive age ni 70 years. kwa hiyo bado ana miaka 30 of active production.
 

Sasa Wataajiri Vipi Mwenye Miaka 40 Wakati Ndiyo Anaelekea Kufa? Waajiri MFU Mtarajiwa? Hatutaki Hasara!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…