Nyakua nyakitita
Senior Member
- Apr 14, 2014
- 193
- 43
Nchi ya tanzania vyeo haviangalii elimu bali unajuana na nani mwenye wadhifa.Soma maliza madarasa yote utaongozwa na mwenye cheti.Iwe sekta ya Elimu ,Sayansi ya elimu ya juu,halimashauri nk.Mwenye cheti kakalia kiti ofisin,ndiye anayepanga mshahara wa Profesa