Wenye Elimu ndogo ,wanawaongoza wenye elimu kubwa Tz

Nyakua nyakitita

Senior Member
Apr 14, 2014
193
43
Nchi ya tanzania vyeo haviangalii elimu bali unajuana na nani mwenye wadhifa.Soma maliza madarasa yote utaongozwa na mwenye cheti.Iwe sekta ya Elimu ,Sayansi ya elimu ya juu,halimashauri nk.Mwenye cheti kakalia kiti ofisin,ndiye anayepanga mshahara wa Profesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom