TOHATO
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,479
- 5,326
Ndoto za kufika UDSM kwa wanafunzi wa form six huwa ni zaidi ya asilia 98 kwa wanafunzi wote hizo asilimia 2 zilizobaki ni wale wanafuzi amabao hutarajia kusomea mambo ya kilimo na ufugaji kwa SUA na Udaktari kwa Muhimbili.
Cha ajabu wengi wao huaza kukichukia UDSM baada ya usahili kupita ni baada ya kukosa nafasi.
Kwa waliochaguliwa UDSM hongerini na wale waliotemwa na hali waliomba poleni na msijenge chuki kama wengi waliokuwaga kabla yenu maana HAKA KAMCHEZO HAKAHITAJI HASIRA NA UDSM HAIJAWAHI ACHA MTU SALAMA... maksi zako ndo zingekufikisha UDSM ila pole.
Mliochaguliwa UDSM mkija msome na mpunguze sifa sio kuja ku ning'iniza kamba zilizo andikwa UDSM STUDENT hadi Kariakoo.
Cha ajabu wengi wao huaza kukichukia UDSM baada ya usahili kupita ni baada ya kukosa nafasi.
Kwa waliochaguliwa UDSM hongerini na wale waliotemwa na hali waliomba poleni na msijenge chuki kama wengi waliokuwaga kabla yenu maana HAKA KAMCHEZO HAKAHITAJI HASIRA NA UDSM HAIJAWAHI ACHA MTU SALAMA... maksi zako ndo zingekufikisha UDSM ila pole.
Mliochaguliwa UDSM mkija msome na mpunguze sifa sio kuja ku ning'iniza kamba zilizo andikwa UDSM STUDENT hadi Kariakoo.