Nape na January wanajiona nchi ni yaoWanajitutumua tu hao CCM ni ya kila mtu.
Inasikitisha mno watu wazima kama hao hawana lolote zaidi ya kujitambia na historia za baba zao.Nape na January wanajiona nchi ni yao
Kuna kundi wanajiita wenye CCM. Hawa ni watoto wa wakubwa wastaafu. Wanaojiona kana kwamba chama ni mali yao. Nawasihi sana wote wanaoitakia mema Tanzania wawakemee hawa watu.
Hivi karibuni, Nape Nnauyr alisema wqzi kwamba chama kimerudi kwa wenyewe. Hao wenyewe ni wakina nani?
Nadhani tutafika pabaya kwenye Ukiritimba, majungu, Undugu kwenye Ajira, uonevu na takataka zote tukiwavumilia hawa watu wanaojiita wenye CCM.....Ufisadi utatisha kwenye hili Taifa
Wanajitutumua tu hao CCM ni ya kila mtu.
HahahahahahahaHata msipowavumilia mtafanyaje, maana wote nyie na wao mnategemea vyombo vya dola kufanya siasa, na mkijitenga mkaja nje hamna support ya umma, nyie na hao wanaojiita wenye CCM. Itabidi mbaki humo ndani muendelee kulogana na kufanyiana fitina humo humo, maana dola tu ndio mbeleko yenu.
hawa ni wahuni?Kuna kundi wanajiita wenye CCM. Hawa ni watoto wa wakubwa wastaafu. Wanaojiona kana kwamba chama ni mali yao. Nawasihi sana wote wanaoitakia mema Tanzania wawakemee hawa watu.
Hivi karibuni, Nape Nnauyr alisema wqzi kwamba chama kimerudi kwa wenyewe. Hao wenyewe ni wakina nani?
Nadhani tutafika pabaya kwenye Ukiritimba, majungu, Undugu kwenye Ajira, uonevu na takataka zote tukiwavumilia hawa watu wanaojiita wenye CCM.....Ufisadi utatisha kwenye hili Taifa
Sukuma gang mlichezea sh chooni mtajibebaWanajitutumua tu hao CCM ni ya kila mtu.
Mzee mbona we wazamani ungeungana na wanazi wa SamiaWanajitutumua tu hao CCM ni ya kila mtu.
Kwani hujui kama CCM ina wenyewe?Kuna kundi wanajiita wenye CCM. Hawa ni watoto wa wakubwa wastaafu. Wanaojiona kana kwamba chama ni mali yao. Nawasihi sana wote wanaoitakia mema Tanzania wawakemee hawa watu.
Hivi karibuni, Nape Nnauyr alisema wqzi kwamba chama kimerudi kwa wenyewe. Hao wenyewe ni wakina nani?
Nadhani tutafika pabaya kwenye Ukiritimba, majungu, Undugu kwenye Ajira, uonevu na takataka zote tukiwavumilia hawa watu wanaojiita wenye CCM.....Ufisadi utatisha kwenye hili Taifa
Kipindi Cha jk hakukuwa na undugu kwenye ajira hilo unamsingizia. Ni jpm ndo alianza kuleta undugu kwenye ajira mbalimbaliKuna kundi wanajiita wenye CCM. Hawa ni watoto wa wakubwa wastaafu. Wanaojiona kana kwamba chama ni mali yao. Nawasihi sana wote wanaoitakia mema Tanzania wawakemee hawa watu.
Hivi karibuni, Nape Nnauyr alisema wqzi kwamba chama kimerudi kwa wenyewe. Hao wenyewe ni wakina nani?
Nadhani tutafika pabaya kwenye Ukiritimba, majungu, Undugu kwenye Ajira, uonevu na takataka zote tukiwavumilia hawa watu wanaojiita wenye CCM.....Ufisadi utatisha kwenye hili Taifa
Kuna kundi wanajiita wenye CCM. Hawa ni watoto wa wakubwa wastaafu. Wanaojiona kana kwamba chama ni mali yao. Nawasihi sana wote wanaoitakia mema Tanzania wawakemee hawa watu.
Hivi karibuni, Nape Nnauyr alisema wqzi kwamba chama kimerudi kwa wenyewe. Hao wenyewe ni wakina nani?
Nadhani tutafika pabaya kwenye Ukiritimba, majungu, Undugu kwenye Ajira, uonevu na takataka zote tukiwavumilia hawa watu wanaojiita wenye CCM.....Ufisadi utatisha kwenye hili Taifa
CCM haijawahi kuwa na nafuu ni lazima ifurumushwe kwa udi na uvumbaKuna kundi wanajiita wenye CCM. Hawa ni watoto wa wakubwa wastaafu. Wanaojiona kana kwamba chama ni mali yao. Nawasihi sana wote wanaoitakia mema Tanzania wawakemee hawa watu.
Hivi karibuni, Nape Nnauyr alisema wqzi kwamba chama kimerudi kwa wenyewe. Hao wenyewe ni wakina nani?
Nadhani tutafika pabaya kwenye Ukiritimba, majungu, Undugu kwenye Ajira, uonevu na takataka zote tukiwavumilia hawa watu wanaojiita wenye CCM.....Ufisadi utatisha kwenye hili Taifa
Alikataa kufanya internship ila akajipa leseni alipokuwa Naibu wizara ya Afya , na pia alikataa kujiunga na JKT lakini leo ni Amiri jeshi huko ng'ambo , nyuzi za ushahidi wa mambo haya ziko humu humu jfNdio wanavyowadanganya, lakini kiuhalisia ni tofauti, si unaona Mwinyi baba yake alikuwa rais, na sasa Kawa rais. Watoto wa viongozi wa CCM wana uhakika wa ajira nzuri, na nafasi za utawala tena wakiwa hawana uwezo kabisa. Nyie wengine ni kuwabebea briefcase ili mpate uteuzi.
Ni nchi yao kweli kama kalemani na shughuli yote Ile katolewa akapewa mtoto wa wenyenchi na mipango yote Ile ya madili, mi naona wako sawa.Nape na January wanajiona nchi ni yao