kipusatembo
Member
- Jun 19, 2014
- 88
- 29
Nimekaa hapa nasikiliza nyimbo za BELLE 9 nkaanza jiuliza maswali mengi sana mwenyewe pasipo majibu........
Kijana anaimba vizuri saana saaana tena mno ila kwa nini hatusui kama nanliu baba nanliu Ma.we Sepeeee.......... Mzee kwa kudesaa??
Ni suala la nyota au mashabiki au kujipendekeza kwa Ge.Ru Mutaaaa au ni nini??? Sielewi mjue???
Hebu mwenye ka-idea na game hii anijuze inakaaje hapo???
Kijana anaimba vizuri saana saaana tena mno ila kwa nini hatusui kama nanliu baba nanliu Ma.we Sepeeee.......... Mzee kwa kudesaa??
Ni suala la nyota au mashabiki au kujipendekeza kwa Ge.Ru Mutaaaa au ni nini??? Sielewi mjue???
Hebu mwenye ka-idea na game hii anijuze inakaaje hapo???