ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,561
- 44,753
Ili tudhibitishe kuwa watanzania sio wajinga,ili tupunguze kelele hizi tuangalie maisha. watanzania wanaujua ukweli wote wanajua historia yote tulipotoka,tulipo na tunapokwenda.nyie SI mnadai mna uhakika mnaweza kushindana na kimbunga Cha Magufuli Sasa subirini muone kitakachotokea hamtaamini.ndipo siku hiyo mtagundua kuwa watanzania wengi Wana mtazamo mpya tofauti na mnavyodhani.msije kusema mmeibiwa kura maana CCM itapata wabunge wengi Sana kwa hivyo haitashangaza Rais kushinda kwa kishindo kikubwa.na Kama mna wasiwasi mtaibiwa Basi fanyeni kitu mapema Ili mzuie Hilo jambo.kama hamuwezi Basi muachieni MUNGU.