Ibrahim_
Senior Member
- Aug 13, 2019
- 103
- 164
HahahaaaaKwa mala ya kwanza nasoma maandishi ya mtu mwenye ticket ya motoni
HahahaaaaKwa mala ya kwanza nasoma maandishi ya mtu mwenye ticket ya motoni
Hahaaa umeamua kumuumbua hadharani juu ya utapeli anaotaka kuwafanyajia wana JF, kweli JF ni raha sanaHuna u-freemason wowote.Sio wewe ambae juzijuzi tu mwezi wa sita ulikuwa unalialia unatafuta mtu akuunge Freemason.
Kuna mawili Ni either unataka mademu wamiminike huko Pm.Au unataka uwatapeli Wakoromije wenzangu
Unadhani tumesahau
View attachment 1184795
Huo utajiri unakusaidia nini wakati roho yako ushamuuzia shetani. Wakati wowote wanakuchukua ukateseke milele. Pesa sio suluhisho la maisha wakat unakufa mda wowowte usioujua. Cha msingi mche muumba wako.Mungu ndie atupae nguvu ya kupata utajiri sio freemason waganga wa jadi tu hao.Mimi kwa sasa Nina miaka 30 lakini nimehangaika na maisha miaka yangu yote ya huko nyuma kiasi kwamba ikafika mahala nimekata tamaa kabisa
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2010 kipindi cha uchaguzi ndo kwa Mara ya kwanza nilianza kusikia neno Freemasonry KIPINDI hicho nikiwa na miaka kama 20 ivi kuelekea 21 lakini kwa kuwa nilisikia juu juu sikutaka kufahamu zaidi wanajihusisha na nini hivyo nilipotezea
Ilipofika mwaka 2017 nilivyo maliza masomo ya chuo nikajikuta nipo mtaani bila kazi afu pesa nikizitafuta hazionekani nilianzisha vibiashara vya hapa na pale lakini vingi niliishia kuvifunga kwa maana sikuwahi kupata faida hata siku moja
Asikwambie mtu na Amini haya nayokwambia uonapo watu wanamagari,majumba ,maghorofa eti wamezipata katika njia nyepesinyepesi najua utapinga lakini ukweli ni big No huwezi pata pesa mpaka uje uingie kaburini kwa kujifanya wewe hujui mambo ya Giza uamuzi wa MTU ni pande mbili
Amini nguvu za Giza upate mipesa
Au usiamini ufe maskini hizo ndo pande mbili tu unayepinga pinga lakini ujue ukweli ndo huo katika watu milioni 1 wenye pesa sana asilimia moja au MBILI tu ndo wanatumia njia halali ila waliobaki hujijua wao na mambo yao
Sina muda mrefu sana japo mambo mengi nimepitia lakini nifupishe kwa kusema uchawi,uganga na freemasoni vipo na vinafanya kazi ya kuwatajirisha watu ili kusudi kuwavutia wengi wadumbukie humo
Nilianza kwa kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii na huko YouTube ili kuifahamu zaidi hii jamii ya ki Freemason nilihamasika na kutishwa pia ila nipende tu kusema mengi yanayozungumzwa kuhusu Freemason mitandaoni ni uongo mtupu tena wanaenda chaka kabisa
Kuna njia mbili za kujiunga Freemason njia ya kwanza ni wewe kuwa karibu sana na mungu afu ni mtu mwenye impact katika jamii wewe watakutafuta kwa hali NA Mali yaani watahakikisha wametumia kila mbinu umeingia mikononi mwao na wakiamuaga jambo huwa hawashindwi
Lakini AINA ya pili ni kupitia mwenyeji wa hiko kikundi yaani kuna Namba ya mwenyeji inakupasa uwe nayo au uletwe na mwenyeji moja kwa moja mpaka ofisini kwao na huyo atakuwa kama mdhamini wako
Usijidanganye na Freemason ya kwenye nguzo sijui kapuku nani anaweka tangazo lake eti naunganisha Freemason pumbavu kweli freemasoni haiungwi kiboya hivyo
Safari yangu jinsi ilivyokuwa note nitaeleza juujuu na baadhi ya mambo sitayagusia kutokana na mambo fulanifulani
Mwezi April nilianza harakati za kujiunga na imani hii LAKINI nilisumbuka sana mpaka nilikuja kufanikiwa baada ya misoto mingi sana na hakuna njia hata moja niliyosoma mitandaoni nikafanikiwa kujiungia hiyo ,ilitumika njia tofauti kabisa miongoni ni hiyo hapo juu ambapo wanahitaji mdhamini wako akufahamu vyema kwelikweli unless wamekutafuta wao
Kuna kiapo ,nilikula ambacho kama unamoyo mwepesi weka mbali na watoto yaani kuna maneno serius ya kukufuru hadi unajionea huruma ila mwenye moyo mkuu TU ndo anaweza fikia hio hatua ,kuna vitu unanyweshwa na mafundisho unapewa ambayo yapo stage mbalimbali na baada ya kutoka pale aisee kuna mambo inakuwa umebadilisha kwa asilimia 60%
Mfano : kujiamini kunakuwa kwingi,afu jinsi ya kuweza kunatofautiana asilimia mia moja na mwanzo,huruma inakutoka,afu unakuwa unajihisi very smart pia zawadi kemkem unapewa na baadhi ya logo na alama ambazo unaelezwa jinsi ya kuzitumia katika kukuza imani
Aisee pesa IPO ila duuh usiombe uingie huku hakuna mlango wa kutokea na utakuwa traced everywhere na bora kama unampango wa kuingia fikiria Mara mia zaidi ili usijejutia maamuzi yako
Lakini kwa ufupi hii society ndo inarun dunia na kila vikorokoro vya kushangaza hawa jamaa ndo operator wana kila idara na kila kitengo kipo very serius
Sio wachungaji
Sio wasanii
Wanasiasa
Wafanyabiasha
Viongozi mbalimbali nimewaona huko hadi wengine ukiwa nje huku huwezi kuwadhania kabisa
Wana msemo wao kuwa kuwa tajiri ni uamuzi sio majaariwa
Niliteseka sana nikiwa nje ya mfumo ila kila jambo na mwisho wake
Huo utajiri unakusaidia nini wakati roho yako ushamuuzia shetani. Wakati wowote wanakuchukua ukateseke milele. Pesa sio suluhisho la maisha wakat unakufa mda wowowte usioujua. Cha msingi mche muumba wako.Mungu ndie atupae nguvu ya kupata utajiri sio freemason waganga wa jadi tu hao.
Acha niendelee kuropokaKila kitu ni hatua big ko ukajua kila muda ni mwezi wa sita vyote ulivyoongea hamna la maana ni kulopoka tu
Utapeli umeingiaje hapo mkuu
Kwa hiyo mpaka muda huu we ni Freemason??
Yaani nimecheka mpaka mbavu zimeuma. Jf siku hizi imekua ya ajabu sana.
Unamaanisha saa hizi saa nne na dakika 20 usiku?Kwa hiyo mpaka muda huu we ni Freemason??
Yaani nimecheka mpaka mbavu zimeuma. Jf siku hizi imekua ya ajabu sana.
njaaa usiumbiwe mwanaume utaliwa kiboga hahahahhaKwa hiyo mpaka muda huu we ni Freemason??
Yaani nimecheka mpaka mbavu zimeuma. Jf siku hizi imekua ya ajabu sana.
We unakuaje na urafiki na aokuna siku apa vijana kama utani nikawaambia mi nna no ya freemason na nafasi ni moja,,wapo waliobeza,,ila watatu walikuja pm..nikampa no mmoja,,Wervemarcel ebu waletee mrejesho nlivokupa no ya fremason wa arusha..maana nikikupigia cm hupokei...but nlijutia sana uamuzi wa kukupa no maana kama umeshajiunga nafsi yako ntadaiwa..ila ubishi na u-tomaso ndo ulikuponza,,,,,lete majibu ikawaje maana nakupigia hupokei
Ohooo!! Umefika mbali kijana ,,,,lugha za maudhi si mahala pake hapa.Ahahaaaaa noma sana utamuungaje mtu humjui we nyoko kweli
Kanumba alikuwa Freemason kwa ushahidi upi ?Nauliza kwa mleta mada na wengine pia wanaojua hv ni kwann waafrica wengi wakijiunga na hao wajenzi huru wanakufa mapema mfano kanumba na wengine wengi huko ulaya mambo ni tofaut watu wanaishi miaka mingi zaidi tatizo ni nn maana hii ni sababu ya watu wengi kuogopa kujiunga na huu ufalme pia kutoa kafara ni kila baada ya mda gani..au Inategemeana na kiwango cha utajiri unaoutaka?? Nikiwa na maana kwamba kuna utajiri ambao hutoi kafara nk.??!!