Kama halitaki na linamkera si amrudishie ndomo?
Kama hataki gundu akiuza na hizo hela akawape watoto yatima. Akizitumia gundu bado lipo palepale ni sawa na kuendelea kulitumia hilo gari.
Anatafuta ujiko tu magazetini, kama kweli ana jeuri alirudishe alikolitoa tuone.....
anajishaua uwezo huo hana, si unakumbuka kipindi kile anahongwa magari mawili wacha akina Mrembo by Nature watupe vichambo eti madam yupo juu aya leo hii gari limegeuka kuwa moto mkali, nilisemaga vya kuhongwa sio vyako vina gharama na cha mtu siku zote ni mavi, ona anavyohangaika sasa , angekuwa kanunua kwa pesa yake asingetokwa mapovu ovyo kma ana kifafa
kweli zarina kiboko ya mama ubaya, atakufa kabla ya wakat...van vicker si yupo jamn au?
anajishaua uwezo huo hana, si unakumbuka kipindi kile anahongwa magari mawili wacha akina Mrembo by Nature watupe vichambo eti madam yupo juu aya leo hii gari limegeuka kuwa moto mkali, nilisemaga vya kuhongwa sio vyako vina gharama na cha mtu siku zote ni mavi, ona anavyohangaika sasa , angekuwa kanunua kwa pesa yake asingetokwa mapovu ovyo kma ana kifafa
Kama hataki gundu akiuza na hizo hela akawape watoto yatima. Akizitumia gundu bado lipo palepale ni sawa na kuendelea kulitumia hilo gari.
Anatafuta ujiko tu magazetini, kama kweli ana jeuri alirudishe alikolitoa tuone.....
Kama halitaki na linamkera si amrudishie ndomo?
Yeye mwenyewe ana dhiki mpaka matakoni, kama gari halitak arudishe kwa mwenyewe asijishaue wakt uwezo wa kununua hana