Bahati yenu, chama chenu kilikuwa kimetekwa!! Kilikuwa kinakwenda what we call "mwendo wa mateka...." leo hii mnaanza kufungua midogo na kusema madukuduku yenu - kweli ni jambo la kushukuru mno!!
Ila na nyie mjirekebishe, upeni mkutano Mkuu wenu meno ya KUCHAGUA Mwenyekiti wenu na si KUMPITISHA.