Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
Heshima kwanza....wekeni itv ibada ya kumuaga mpiganaj imeanza
Mm nilitaka nipost picha ila zinagomahuku kwetu hamna umeme....
huku kwetu hamna umeme....
Prof Shivji kajiinamia akionyesha kutafakari sana
sijui kwa nini, kifo hiki kimeniuma sana!
Mm nilitaka nipost picha ila zinagoma
pole mkuu.ibada inaendelea.....
Dr Mvungi anaagwa kwa baraka ya mvua
jambo lakushukuru mungu, muweza ya yote!
Anatafakari tz ilipofika...kwamba ht yy anaweza akauawa..the world z not fair